Recent content by MWANANCHI MUSOMMMA

  1. M

    JamiiForums Tanzania TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Tunashukuru ndgu ila lazima uende pia chuoni kwa wale wa afya ndivyo nilivyojuzwa ndgu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kumpeleka ndugu yangu kujiunga na chuo cha clinical officer sasa je fomu bado zipo?

    Naombeni mniambie walau lugalo,ifakara au kibaha bado zipo wazi nafasi kwani nahitaji kumpeleka hata uuguzi kwani kukaa home nako sio vizuri kwa mtoto wakike |tafadhali madaktari,wauguzi wafanyakazi wa kawaida,wanajeshi na wengineo wanaofahamu kama bado nafasi zipo wanijuze.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nahitaji kumpeleka ndugu yangu kujiunga na chuo cha clinical officer, sasa je fomu bado zipo?

    Naombeni mniambie walau Lugalo, Ifakara au Kibaha bado zipo wazi nafasi kwani nahitaji kumpeleka hata uuguzi kwani kukaa home nako sio vizuri kwa mtoto wakike . Tafadhali madaktari, wauguzi wafanyakazi wa kawaida, wanajeshi na wengineo wanaofahamu kama bado nafasi zipo wanijuze nami napatikana...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Chuo cha uuguzi Lugalo hospital

    Jamani nami pia nataka kumpeleka pale ndgu yangu nitafurahi kama nitapatiwa ufumbuzi kama bado fomu zinachukuliwa na mwisho wa kurudisha lini kwani nami nataka kumpeleka mdogo wangu certificate ya clinical officer|je pia nasikia akimaliza anaweza pata ajira ,vipi kuajiliwa jeshini inawezekana...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ngazi za mishahara Serikalini - Tanzania (TGS, PHTS, PSS, SAIS etc)

    Jamani clinical officer anaanzia mshahara kiasi gani|naombeni ufafanuzi tafadhali...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nauza Laptop Hp

    Jamani NAUZA laptop hp,ipo OK 40harddisk, memory card,battery inakaa &chaji masaa4,ram 250 ipo OK bei 270,000/=| pia NAUZA BLACKBERRY 9860 MPYA KABISA BEI 250,000/= MAONGEI YAPO KTK KILA BIASHARA NIPIGIE HAPA 0-657-740-797
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nauza kampuni ya finance pamoja na ardhi inayomilikiwa na kampuni hii ya mikopo...

    Habari zenu wanajukwaa... Nami ni mjasiriamali mwenzenu ninayefanya biashara mbalimbali hapa nchini kama vile agribusinesses,pia networking business pamoja na agricultural ila mnamo MWAKA jana mwezi dec nilifungua kampuni ya mikopo iliyokuwa ikijishughulisha na biashara hizo kwa kipindi kifupi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Nimependa mchanganuo lakn mimi napenda wa nyama na nafuga wa nyama pekee kwangu ni rahisi na masoko pia ninayo mengi ... Karibuni kwa ushauri pia...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Jiunge na hope na success club (Hip Club)

    B hope&success club ____________ hili ni group muhimu zaidi katika jamii pia changamoto zinaonesha mafanikio pia.. Nimependa hope group club___
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nauza wine kutoka dodoma aina ya dompo kwa bei nafuu.

    Nitakutafuta kiongozi..
  11. M

    JamiiForums Tanzania Jiunge na hope na success club (Hip Club)

    Mkakati huu ni mzuri sana naamini kila kijana aliyepita hapa atahitaji aweze kuingia ktk group hili|naamini hili ni wazo zuri na linawezekana .. ..
  12. M

    JamiiForums Tanzania List ya Business Ideas kuhusu viwanda vidogo vidogo

    Ee jamii forum nazidi kuipenda kwani vitu vyote vinavyoandikwa humu ni ghali kupatikana ktk mitandao mingine|kweli hii ni app no .1 Tanzania.... MBARIKIWE WOTE&TEAM NZIMA YA JAMII FORUM...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Project funding sources

    Mzuzu kiongozi natamani tuonane kwani hata mie nimemaliza chuo ngazi ya diploma nipo hapa mjini lakini nina shamba ekari 15 | naamini tunaweza kufanya kazi kiongozi basi tutafutane kupitia hapa +255 657 740 797
  14. M

    JamiiForums Tanzania Viwanja vinakopeshwa Chanika

    Je balozi viwanja vipo maeneo gani,je bona hati miliki,Je mahali hapo kuna vyanzo vya maji..
  15. M

    JamiiForums Tanzania Eti mwanzilishi wa JamiiForums ni Mzungu?

    Mmhh hii kali kwani naamini walishawahi muhoji mmoja ktk east Africa tena kipindi cha salama (mkasi) ila hawa ni watanzania wenzetu,vijana walianzisha kama blog lkn ndio leo wanaona matunda kwani ndio mtandao namba moja bongo mamia ya watanzania yanaweka comments, jamii pia inaneemeka kwani nami...
Back
Top Bottom