Sio wazungu wanaotowa harufu wala sio wanawake wote ambao hutowa harufu. Kunabaadhi ya wanawake wakienda kujisaidia haja ndogo hawajisafishi kwa maji wanainama wanaondoka hvyo hiyo bila kufanya huo usafi,sasa hapo wewe utegeme harufu tu.
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
Kuna teacher wetu moja jina nalihifadhi alikutana na jini akamtongoza,jini bila kutafuna maneno akamkubalia,kufika hiyo sehemu ili abanjuwe kumuangalia chini anamiguu ya punda teacher alizimia na alipo ziduka ni chiziiii, baada ya hapo alipelekwa kwa mganga jini akaja kichawani akasema namtia...
Kumbe ulikuwa muislamu,hukuwa muumini wa dini ya kislamu,karne hii waislam wengi sana wauumini wa dini ya kiislamu wachacahe. Muumini wa dini ya kiislamu habadili dini yake lakini muislamu hubadili dini yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe yako isiwashwe daima,mm ya kwangu hata kama hukuwasha nakukamata tuuuuu. Pole sana kwa kwa hilo lililokufika.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.