Recent content by MWANAMBOKA1

  1. MWANAMBOKA1

    Nini asili ya neno bodaboda?

    Ni sahihi ,kipindi bodaboda zinaanza kuwa nyingi nilikuwa naishi Bukoba,na wasanii wa bukoba na Uganda walikuwa wanaimba nyimbo za kuusifu huu usafiri,ndipo baadae biashara hii ikaenea kwa kiasi kikubwa sehemu nyingine za tz
  2. MWANAMBOKA1

    Baba mwenye nyumba hataki nifanye biashara ya pombe kali

    Uzi hauwezi kuishia hapa ,kisa umetumia gharama zako na nguvu zako ndo uamue chochote kwa Mali yako?kweli Mali ni yako lakini Huna uhuru wa kuitumia vyovyote utakavyo huku ukiminya uhuru ama haki ya mwenzako.
  3. MWANAMBOKA1

    Malezi ya mtoto baada ya kuachana yana changamoto zake

    Nenda mkaonane,bado nyie ni wamoja maana kuna kitu mna share in common. Ila sasa ninamashaka na viporo kupashwa
  4. MWANAMBOKA1

    Kuna Group Linajiita JamiiForums linapotosha Umma

    Headline lazima iwe na mvuto,ili mtu ahamasike kuifungua habari kiundani, hiyo ni mbinu ya kiuandishi hajapotosha,atakuwa amepotosha kama content itakuwa inaendana na headline,kiongozi.
  5. MWANAMBOKA1

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Hii hesabu aliyeipiga atakuwa motivation speaker siyo kwa kuipaisha hivyo
  6. MWANAMBOKA1

    Kuna uhusiano gani kati ya Pesa, Umasikini na kelele

    Debe tupu haliachi kuvuma,wahenga walinena.
  7. MWANAMBOKA1

    Washereheshaji na watanzania kwa ujumla, tuzingatie Sheria ya Mtoto

    Vipi suala la maharusi kuwatumia watoto kwenye ibada ya ndoa makanisani kama bibi na bwana harusi wadogo hili nalo limekaaje?
  8. MWANAMBOKA1

    Washereheshaji na watanzania kwa ujumla, tuzingatie Sheria ya Mtoto

    Vipi suala la maharusi kanisani kuwatumia watoto kama bi na bwanaharusi wadogo,hilo limekaaje?
  9. MWANAMBOKA1

    Jamani mwanaume Msafi anavutia asikwambie mtu

    Jinsia huwezi ibadili,sema kinachobadilika ni mfumo wa maisha
  10. MWANAMBOKA1

    Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

    Kavuliwa kama alivyovuliwa upadre
  11. MWANAMBOKA1

    Oparesheni 255: Tundu Lissu afanya mikutano 5 Bariadi Vijijini

    Huyu Lisu,ni binadamu mwenye IQ ya kipekee kabisa,na Mkono wa Mungu upo juu yake,kuna kazi maalumu alipewa na Mungu kulisemea taifa bila woga wowote.Binafsi 2025 asimame na ipeperushe bendera kwenye mbio za uraisi tena.2020 japo kwenye karatasi ya kupigiwa kura aliwekwa mwishoni yaani...
Back
Top Bottom