Dah aiseee....
Ripoti ya CAG itaendelea Kuja kama inavyokujaga kila mwaka...
Vinginevyo walio karibu nae wamshauri abadili approach kuliokoa Taifa Hili..
Taifa la Israeli mbali na kuwa ni Taifa teule la Mungu lakini . Ni Taifa ambalo tangu zamani lilijiandaaa kushinda vita na ndio maana likawekeza ktk Elimu... Dunia hii Bila Elimu haiwezi kusonga hivyo.. hata Marekani anamtumia Mu-Israel ktk Tekinolojia... So hao Waarabu wakubali kwamba...
Sio chuo cha Walimu Butimba huyo boda boda wako mwambie akupeleke Bunda IL uje na taarifa kamili. Tukio Hilo limetokea majuzi linahusisha wanachuo wa Bunda TC. Sio Butimba.
Uko sahihi mkuu kama wasomajibwapo humu walifanyie kazi. Hata kusajili Kampuni ni tizi ni Mara mia turudi tulikotoka ili wapate muda wa kujipanga na tekinolojia ambayo kwakweli ilikuwa nzuri ila changamoto zimekuwa kubwa kuliko ufanisi
Pole saana mleta Uzi.
Bahati mbaya Watu wanajadili Picha badala ya tatizo.
Ww uliyekimbiwa na Mme kaa chini na utulie mlilie Mungu atakuonesha njia.
Na huyo Mwanamme IPO Sikh atakutafuta kwa style nyingine.
Pole sanaaaa. Ila jipe Moyo. Na Mungu ni Mwema
Ni kauli yenye matumaini kwakweli.
Ila nashauri aiweke kwenye maandishi awapelekeee marpc na Ocd pia wananchi wapate hiyo barua kupitia website ya wizara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.