Huu nao labda ni Upepo tu? Alijisemea Muamar Ghadafi akiwa zake Ikulu akipata kikombe cha Ghahawa. Mungu atuepushe tusifike huko na aendelee kuwapa hekima viongozi wa Taifa letu.
Killing Iran Top Military Commander widen Gap between America and Allies. CNN
Time ya Mbabe wa Dunia ajidhihirishe sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa, ingawa kuna wakati unakuta magari yanapangwa kiasi kwamba hakuna sehemu ya Dereva kutoka, milango yote imezibwa na magari. Ukijaribu kufungua hata mtu mwembamba kama Kipchoge hawezi kutoka mlangoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.