stella1975
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 870
- 1,249
Mmmmmh
Kabisa unaongea kinabii na mimi nakuunga mkono kwani naona pia tunaelekea pabaya na watu wanaobekana kuchoka na kukata tamaa. Kuna ujinga mkubwa sana kati ya watawaliwa na pia watawala wa kipindi hiki ndio usiseme ni hatari.
Kuna watu fulani wanataka kufanya kama wapendavyo bila kujua wanaweza wakajikuta ni wakimbizi wa nchi yao wenyewe. Watu fulani wamesambazwa kila kona kunyamazisha kila anayejaribu kusema ukweli, ni hatari sana.