Kuna jamaa yangu kawazingua,hawahawa mkopo powa na mdhamin kaniweka Mimi,anapigacmu Kuna mtu tunamdai harafu anatutukana na wewe ndio mdhan wake,nikawauliza mnataka nimdhamin?wakajibu tumeshampa ela tayri.kwanini hamkunipigia kabla ya kumpa?wananiambia cmu yangu ilikuwa haipatikani.achanani na...
Aaaaa wapi,tarifa zilivuja Toka kwa HR kuwa barua iko mezani ya kwangu,nikakubali kuunda urafiki na adui yangu wa zamani ili nipate voice note.na kweli nikazipata na kuzimwaga hewani jinsi wavyotia kampuni hasara,Tena kwao jambo lilikuwa kubwa kweli nusraa mtu apewe jezi.
Nilikuwa kwenye kampuni flani na wajinga flani mngoni na mfipa,wakapiga zenge kwa boss ili niondoke kibaruani.nikasema hawa hawanijui vizuri itakuwa.mbona tumepigwa wote termination letter,na hawakuwa wamejipanga na mtaa,wanaishi maisha ya hovyo kwelikweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.