Mkuu sometime unawaza hii Dunia mpaka kichwa kinauma,unajiuliza kama kuna viumbe wana uwezo wa kuona mambo ya bdae kwa kiwango hiki maana yke wanaweza kupredict the future?
Huyu jamaa beyond the reasonable doubt ana ufaham mkubwa sana wa mambo ya rohoni ni vizuri tukajifunza kwa watu kama hawa kuliko kukejel mwisho wa cku madhara yanakua makubwa zaidi
Ni kawaida kwa Mwanadamu Kujawa na Kiburi hasa anapokua na kiwango flan cha maarifa,Hyu ndugu yetu Nyerere nadhani ni miongoni mwa vijana walioathirika na hii tabia..
Ukifika hatua ukajiona ww ndio unajua kila kitu na kwamba hakuna Mwanadamu yyte anaweza kukushauri basi ujue upo kwenye levell ya...
Mtoa mada hv kwamfano message hyo hyo angekua amekutumia Mama ako kwenda kwa hyo mchumba ako nayo ungekuja kuomba ushauri? Mm nimesoma phychology ican read ur mind thro the line of ur txt,hapa kuna mambo mawili
1)unaonekana ahadi zko sio za uhakika kiasi kwamba mpenzi wko hakuamini 2)Ww ni...
Mbona mnatuchanganya akili sasa kama Ijumaa,Jumamosi na Jumapili sio sabato tushike lipi?maana tukisema jumamosi mnasema ooh jumapili ndio sabato,haya tukikubali kama sabato ni jumapili mnasema tena ooh sabato ni ijumaa haya tukisema tena ni ijumaa mnasema cjui al khamees kwa kiarabu maana yake...
Mkuu wanasemaga "show me ur friend then i will tell ur character....ss kama hyo ndio rafiki ako mm nasema kwa kimasai Ashenalee...yani Ahsante sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti shoga angu laiti ungesoma usingekua unateseka na michuma namna hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nashindwa kuelewa ina maana mda wte huo hawa Azam wanafanya hyo biashara Serikali ilikua haioni?maana hpa wanaoumia ni sisi wateja...mtu umelipia mwezi bdo dish umenunua lakini hupati huduma eti Wapo kwenye majadiliano?kwahyo incase wakishindwana hya madishi na vinga'muzi vinakua hasara ya...
Azam tv msipochukua hatua mapema sisi wateja wenu tutawawajibisha,tumeshawachoka..... kamavp mturudhishie pesa zetu mchukue madish yenu tuhamie dstv...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hyu jiwe sio ndio yle wazungu Walisema ni Rouge President....sasa Nashangaa eti Anasema Maaskofu Waombee viwanda cjui vpo kwenye Zaburi au Mathayo? hahhaaa hyu Mtafiti wa bank atatumaliza Mwaka huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.