Recent content by mwanachuo

  1. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 LGE2024 Ahadi zisizotekelezeka jimbo la Moshi Mjini kitanzi kwa CCM

    Kiukweli katika miji inayochakaa kwa kasi ni pamoja Moshi, ulevi , uchafu na ujenzi holela vimeshika kasi
  2. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 LGE2024 Ahadi zisizotekelezeka jimbo la Moshi Mjini kitanzi kwa CCM

    Mwandishi wetu. Wakati chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Moshi Mjini kikijinasibu kupitia Mbunge wa Chama hicho Jimbo la Moshi Mjini kuwa waliahidi ahadi 10 ambapo wanadai 9 zimekamilika na moja ya kuifanya Moshi kuwa Jiji kwamba ndiyo pekee imebakiwa, Chama hicho kimepata upinzani mkubwa kutoka...
  3. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Vigogo wa CCM Mkoa waanza kusaka Ubunge Jimbo la Moshi Mjini

    Joto la siasa limezidi kupanda Mkoani Kilimanjaro hususani Jimbo la Moshi Mjini ambapo inasemekana baadhi ya Viongozi wa CCM Mkoani hapo wameanza harakati za kuusaka Ubunge kupitia makundi mbalimbali ya kijamii na ya Mitandaoni. Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika zinasema, Viongozi hao...
  4. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Mwalimu: Priscus Tarimo (MB) usiharibu kiinua mgongo chako!

    Naibu Katibu Mkuu Chadema amemshauri Mbunge wa Jimbo la Moshi Mjini Priscus Tarimo asijaribu kutumia kiinua mgongo chake kwenye kampeni za uchaguzi kwani katika kipindi chake chote hakuna alichokifanya zaidi ya kupeleka lami kwa baba yake na kudandia miradi isiyo muhusu ambayo imetekelezwa na...
  5. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Mabasi ya Kilimanjaro yafungiwa kutoa huduma

    Mbona mkuu unaongea kwa makasirikoo
  6. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

    Huo ndio ukweli...from reliable source Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  7. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu CCM Chongolo hala hala baba, Makonda anakuja vibaya!

    Ngoma tayari Bulembo kala uteuzi wa katibu mkuu Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
  8. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo aandika barua ya kujiuzulu

    Kuna fununu kuwa Abdallah Majura Bulembo kateuliwa kumruthi Daniel Chongoro
  9. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Gigy Money asaidiwe

    Hii IPO kidogo ana vinyamanyama
  10. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Gigy Money asaidiwe

    Niko nayo nilipata kipande anajituma na walikuwa kitanda kimoja duh
  11. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Vyama vya siasa viache kupitisha wagombea kwa kigezo cha kukubalika, badala yake watokane na sifa za uongozi

    Ili Taifa liweze kujikwamua kimaendeleo Vyama vya Siasa vinatakiwa kuachana na Mfumo wao wa sasa wa kupitisha viongozi kwa kigezo cha kukubalika na hatimaye wagombea watokane na Sifa za kiongozi ambazo ndizo nguzo muhimu katika kusimamia maendeleo. Utakuta Diwani anachaguliwa Hana uwezo wowote...
  12. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Ajira kupitia Wizara ya afya

    Naomba ufafanuzi kutoka kwa wizara je wahitimu wa mwaka huu kwenye hizi fani hawaruhusiwi kuomba maana Kuna leseni za kitaaluma zinatakiwa wakati hazitoki kwa wakati na maombi Yanalazimisha mpaka leseni iwekwe ili kumove
  13. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Miradi mingi ya Hayati Magufuli ya kutoa fedha taslimu ni 'White Elephant'

    Huko Kasikazini wanageuza mazezeta ndugu zao Ili wapate Mali huku wanajiita wameelimoka
  14. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania UVCCM na CCM kwa ujumla tokeni hadharani kukemea kauli ya Mzee Makamba kama mlivyofanya kwa Dkt. Bashiru

    Makamba alikosea ila wendawazimu pekee ndio watasapoti huu upuuzi
  15. mwanachuo

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya ulinzi vinanufaikaje na uchaguzi wa ndani wa CCM?

    Chama Cha mapinduzi Kiko kwenye michakato ya Uchaguzi wao wa NDANI ila Cha kushangaza kwenye Kila uchaguzi hasa za wiki Jana za jumuiya vyombo VYA ULINZI na usalama vimekuwa mstari wa mbele kushiriki kwenye chaguzi hizo. Kuna wanaoshiriki Hadi kuhesabu kura ila hata kusimamia hizo chaguzi...
Back
Top Bottom