Hakuwa Engineer ila Mhasibu ameajiriwa TANROADS RUVUMA. Wengi wetu tunajua ukifanya kazi TANROADS basi wewe ni Engineer. Barabara ya Songea - Mbinga (kipande Cha Kuanzia njia panda ya kwenda Peramiho), kilijengwa na WESONS T LTD na sio KAJIMA. Karibu kwetu Matarawe.
Wasifu niliusikia. Unakumbuka "Ukoo wote wa Ngonyani na Mhagama"? Nikufahamishe nakumbuka vizuri bàadhi ya magumu aliyopitia Mzee Mhagama miaka hiyo. Usitake tuseme mengi. Uliomba kujua tumekusaidia lakini unaonesha una lako jambo
The Father of All, hili jina na Mhagama ni la Marehemu Mumewe. Alishatangulia mbele za haki miaka zaidi ya 20 Sasa kama alivyodokeza Pulchra Animo. Alikuwa mtu mwungwana sana unapokutana nae. Wote wapumzike kwa AMANI.
Ndo maana akiwa Mbeya Uwanja wa Sokoine alirejelea Kauli ya JF Kenned- Rais wa Marekani. Think what you will do to your Country!...habari ya kulalamikia mapungufu yake ni Upumbavu.
Ili tuendelee tunahitaji vitu vinne
WATU
ARDHI
SIASA SAFI
UONGOZI BORA.
JK Nyerere aling'atuka back 1985. Miaka 40 baadae bado tunahangaika na Ujinga, Maradhi na Umaskini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.