Recent content by MwanaAfya

  1. MwanaAfya

    Sudan: Jeshi Lagoma Kukabidhi Utawala kwa Raia, Wananchi Waaandamana

    Kazi ipo asee Uongozi mtamu sana usione jamaa hataki kuachia uenyekiti CDMA pale
  2. MwanaAfya

    Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

    Tumieni akili mnapo post vitu Kwani hao wameshajiriwa?? Mfumo wa saivi huwezi ajiri watu wawili kwa wakati mmoja! Mashine itatema tu
  3. MwanaAfya

    Sijafanikiwa kuitwa kwenye interview TRA. Kwenye vipengere vyote nilivyoomba.

    Unadhani utapata kazi bila kuitwa interview? Wewe jiipe Moyo ndugu
  4. MwanaAfya

    Kila mmoja wetu anao wajibu wa kuzuia vifo vitokanavyo na uzazi

    Kila mmoja wetu anao wajibu wa kuzuia vifo vitokanavyo na uzazi (Maneno Basi, Sasa Vitendo) Mama anapewa nafasi ya kwanza kabisa hata kwenye vitabu vitakatifu yaani Quruan na Biblia, sasa basi wewe ni nani usijali akina mama wanajawazito? Kila mmoja kwa nafasi yake awe ni baba wa familia...
  5. MwanaAfya

    Serikali yapeleka muswada wa kuanzishwa kwa RUWASA

    Juzi tu nimetoka kuchunga nikakuta umeme uwekwa kwenye nyumba yangu. Big up REA Fedha ni Pesa
  6. MwanaAfya

    Jinsi ATI walivyotaka kuwadhoofisha wamililiki wa Hospital Binafsi

    ATI ni Association of Tanzania Insurers. ATI waliweka tangazo kwenye magazeti mbalimbali wakitaka wamiliki wa hospital binafsi wawe wanachama wao ili waweze kufanya kazi na mashirika ya bima ya afya bila hivyo watakosa fursa Hiyo. Sasa najiuliza si makubaliano ya kufanya kazi na bima husika...
Back
Top Bottom