Recent content by MWANA WA PAKAYA

  1. M

    Niwatie moyo (selected/notyet/cheking in progress) na jina halionekani

    Ila hao ITA selection zao wameweka Wapi? Naona kwenye site yao yapo ya diploma, certificate na postgraduate
  2. M

    Vyuo vilivyotoa majina hadi sasa

    vipi tia and ita waungwana?
  3. M

    Kwa waliochaguliwa ITA

    Kuwa mpole kijana mambo badobado kidogo
  4. M

    Vijana wa Kitanzania Wanatafuta kazi

    Ni vijana wawili ambao wakwanza anafani ya udereva na analeseni class "C", ila hakubahatika kusoma mbaka kidato cha nne. Wa pili: ana elimu ya kidato cha nne na ana certificate pamoja na diploma ya Accountancy.
  5. M

    Naomba kufahamishwa kuusu St. John University, Dodoma

    Ebwana kama wew ni mwanaume hostel ni shidah sana coz kuna hall moja tu kwa wavulana na mengineyo ni kwa wadada tu so ukiwahi utapata. Karibu sana.
  6. M

    Institute of tax administration (ita)

    Wakuu anae fahamu kuhusu program za hiki chuo kwa ngazi ya degree na viwango vyao vya ada naomba anijuze. Shukran!
  7. M

    St john's university

    jamani ni vyema mkamsaidia huyu maana anachosema ni cha kweli kabisa.
  8. M

    NACTE:Janga lingine la kuangamiza Elimu Tanzania

    Fatilia na st.john town center dodoma ujionee
  9. M

    Swali kuhusu st.john university of tanzania-town center

    Wadau naomba mnielimishe juu ya hili. Hivi ni kweli nacte wanaitambua center hiyo?
  10. M

    Goals of law

    What are the goals which law seeks to achive in the society?(Nisaidieni juu ya hilo)
  11. M

    Wadau ipeni maneno picha hii

    wadau huyo bint lazima afanye atakalo huyo jamaa c mnaona alivyo batasam huyo mdada,inaonesha yuko radhi kufanya lolote atakaloambiwa na huyo jamaa ila atajifanya kama anagoma ili mradi tu abembelezwe.
  12. M

    Sifa ya kabila la Wanyaturu wanaume

    huyo mdogo wako hajapenda ila anajaribu tu kupitapita coz mapenz huwa hayachagui kabila wala rangi na kama huyo jamaa ningekuwa ndo mimi mdogo wako asingenipata tena. So mwambie ajirekebishe huwa hatufanyi hivyo ktk mapenzi sawa mama?
Back
Top Bottom