Hii kitu ili uifaidi unatakiwa kukaa kama siku mbili ama tatu hivi, ukirudi kuchungulia unakuta comment za wana kama mia hivi kwa wale wenzangu wapenzi wasomaji comments tu.
Kama tittle inavyojieleza naombeni mbinu za kujitoa kwenye chama la wana CHAPUTA, completely, nimejaribu mara kibao kutaka kurudisha kadi ila nashindwa kuna kipindi hapo kati nimekaa mpaka about six months, ila nimejikuta nashawishika kupractice tena.
Please niko serious naomba mawazo ya...
Mkuu, najua hutoamini kilichoandikwa Lakin ndo kilichotokea ila huwa tunaenda kwa tahadhari sana, huwezi kuweka details zote, kwani uwenda mhusika ( mliwa) naye yuko humu, ni muhimu data nyingine ziwe zimefichwa ila kwakua umefukunyua ngoja nikutoe wasiwasi, event ilifanyika may 2014.
Bwana bwana!! Umenikumbusha mwaka 2013 Niko advance mwishoni mwishoni hivi mwezi wa march ndo tunajiandaa kupiga pepa mwezi wa tano tusepe maana maharage yalikua kero balaa,
Sasa bwana sisi tuliokua tunasoma kombi yenye somo la Kiswahili ndani yake tulikuwa tukifundishwa na madam fulani hivi (...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.