Recent content by Mwana Mnyonge

  1. M

    Series (Special thread)

    Thanks a lot brother
  2. M

    Series (Special thread)

    Thanks a lot brother
  3. M

    Series (Special thread)

    Ipo Safi sana
  4. M

    Series (Special thread)

    Hivi hii walking dead,nikitaka kufatilia nianze na ipi wadau
  5. M

    Je, Protase Rugambwa ndiye Kardinali ajaye Tanzania?

    All in all jamaa aliona mbali but nimegundua hata Huku kwenye dini hizi teuzi zinahitaji connection even if watu walioshika dini watabisha
  6. M

    Kwanini hakuna habari za Afrika super league kwenye vyanzo rasmi vyote

    Hicho Ni kichaka Cha viongozi wa makolo kujifichia
  7. M

    Kwanini Mo Anapata Hasara Simba, Yanga wanapata Faida?

    Hiyo Ni simple analysis wametoa ukumbuke mashabiki na wa wanachama sio wajuzi wa financial report but naamini ukienda in detail financial statement itakuwa imeonyesha vitu vyote hivyo,hivi unaona ni sahihi hapo ukawaambia Wanachama Mambo ya prepaid rent or accrual expenditure
  8. M

    Kwanini Mo Anapata Hasara Simba, Yanga wanapata Faida?

    Una uhakika vunja bei ametoa hiyo pesa
  9. M

    Mume wa dada anataka nioe nikakae na mke nyumbani kwao Arusha na mke wangu

    Kaka kwann ukatae wakati Ganda la ndizi Hilo tayari hapo muulize Kama unaweza kuongeza mke mwingine au huyo huyo
  10. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Ni hatari Sana lakini hapa inawezekana Kuna uasi wa ndani , haiwezekani Russia washindwe kugundua mapema Kama kuna hii movement ya Wagner means kitengo Cha ushushu ndani ya Russia hakipo vizur au kinajua nini kinaendelea na kwali hauwezi kuiondoa marekani
  11. M

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Jipeni moyo lakini hii inaweza kumuondoa Putin madarakani na Kama hii itatokea itakuwa mbaya sana kwa Russia
  12. M

    Msaada kisheria: Kanisa linatuchezea rafu

    Umeona joho ukajua umekutana na Yesu kristo
  13. M

    Hatma ya maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni

    Kaka nikitaka kuanzisha hii company what are the procedures
  14. M

    Mrejesho; Biashara ya madini ya dhahabu... fourth season

    Ukinunua jaribu kupima ppm before Tena Pima zaidi ya Mara tatu hapo unaweza kuepuka hasara,hakikisha sample unachukua mwenyewe usimtume mtu akuchukulie sample utalia sana
Back
Top Bottom