Kama ndio hivyo, walime barua usiende kimdomo mdomo. Kwenye barua wa cc ssra. Sikumbuki muda unaotakiwa kusubiri mpaka malipo/matengenezo yawe tayari ila ni chini ya siku 60.
Soma tena policy zao, bima inatakiwa ikugharamie usafiri kipindi chote wakati gari ipo garage. Maana ikiwa matengenezo inakua chini yao. Jitahid umalize paper work za polisi na za bima mapema na pelema garage za wachina.
Ukiwa na Bima kubwa hutakiwi kuweweseka, labda kama unaogopa paperwork...
Wanadai imefungwa zaid ya mwaka, units wananunua kwenye ofisi za maji. Sehemu nyingine wanatumia Mira za kawaida. Niliuliza wanadai ilikua no pilot study maana ufungaji haukuendelea.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ofisi za CPA sio, unajua CPA ni nini haswa?
Ila kinge hiki, acha tu [emoji3][emoji3][emoji3]
Upo wap Tanzania hii.
Kama upo Dar, kuna moja ipo Mbezi beach njia ya chini barabara ya mediterania hotel.
Unaweza fika pale kwa taratibu za kujiunga.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.