Recent content by Mwampu malley

  1. Mwampu malley

    Mauaji ya kupanga na dhana nadharia za kijasusi

    Umeona eeh.. Nashindwa eleewa wanao sema HM alikua hajui anachofanya. Alivurugwa tu. Ndio maana shabaha yote ipo mlangoni na kwa shabaha ukiangalia vema. Sema kikichotokea ndani ya gari kama unavyosema hakukitegemea. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mwampu malley

    Matundu 19 ya Risasi Katika Gari ya Tundu Lissu.. Hao wahalifu hawana mafunzo ya kitaalamu ya silaha!

    Kwakweli kupona kwa lisu Mungu yupo pamoja naye. Mpigaji alikua anajua anachofanya na sio mbahatishaji. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mwampu malley

    Nimemuomba aje tuishi, tufunge ndoa hataki

    Aisee uko na wazo la kimbuzi sana.. Alafu hauna uhalisia na maisha uliyo yaandika.... Labda hayo ya complicated relationship unaweza ukawa kweli uko ndo maana una story za kiivyo tu.
  4. Mwampu malley

    Nakusudia kumshitaki GWAJIMA kwa kutengeneza ujumbe fake wa kumkashifu Dr. Slaa

    Unataka tukupe ushauri au tukupe uwamuzi???:confused::confused:
  5. Mwampu malley

    Nakusudia kumshitaki GWAJIMA kwa kutengeneza ujumbe fake wa kumkashifu Dr. Slaa

    Unataka tukupe ushauri au tukupe uwamuzi???:confused::confused:
  6. Mwampu malley

    Nakusudia kumshitaki GWAJIMA kwa kutengeneza ujumbe fake wa kumkashifu Dr. Slaa

    Unataka tukupe ushauri au tukupe uwamuzi???:confused:
  7. Mwampu malley

    Mtatizo haya ya udini nchini yanasababishwa na mambo haya tu!

    mwanzilishi wa dini yako alikafanyia katoto ka miaka 9 tunamuitaje huyu....hahahaaaa najua utakepa kujibu kama kawaida yako
  8. Mwampu malley

    Mtatizo haya ya udini nchini yanasababishwa na mambo haya tu!

    Kuwa specific,Mungu gani unaye msema wewe,anaye wafundiasha kuua,kuchoma makanisa na kuandamana,,au Mungu wangu ambaye ananifundisha kwa vita sio yetu ila ni yake,,na hukumu sio yetu ila ni yakwake...kama ni mungu wako hata waje mia ntakojolea hadi zichanike na hawanifanyi kitu. Eti mungu wako...
  9. Mwampu malley

    Mtatizo haya ya udini nchini yanasababishwa na mambo haya tu!

    Mara tu ya kukutana na mjinga kama wewe....tehetehe ila mi so mbishi sipendi upuuzi tu hhasa wakuharibu akili nzuri aliyo nayo mtu (ambayo Mungu kamuumbia mwanadamu)
  10. Mwampu malley

    Mtatizo haya ya udini nchini yanasababishwa na mambo haya tu!

    hapo sawa kidogo umeanza kuwa na akili, yan 1 azm 0
  11. Mwampu malley

    Mtatizo haya ya udini nchini yanasababishwa na mambo haya tu!

    kwani ni wapi mnaambiwa mkatae wakristo kuchinja? :smile-big:
  12. Mwampu malley

    Mtatizo haya ya udini nchini yanasababishwa na mambo haya tu!

    Si ndio mnako waanzia watoto wenu kuwaharibu akili,,Nani kakwambia kuwa Mtoto wa kikristo ni mzembe wa kudanganywa tuuu eti unakuwa mjusi ukikojolea tokea lini wangapi wamekuwa mijusi hahahahhhaaaa lakini nampongeza sana kwa ujasili wake na kujitambua kuwa yeye sio mjinga ila alitaka kumuonyesha...
Back
Top Bottom