MZIMU
JF-Expert Member
- Apr 29, 2011
- 4,057
- 1,371
Si ndio mnako waanzia watoto wenu kuwaharibu akili,,Nani kakwambia kuwa Mtoto wa kikristo ni mzembe wa kudanganywa tuuu eti unakuwa mjusi ukikojolea tokea lini wangapi wamekuwa mijusi hahahahhhaaaa lakini nampongeza sana kwa ujasili wake na kujitambua kuwa yeye sio mjinga ila alitaka kumuonyesha mwenzie kuwa aache kuwa lilaza..Ndo na mimi nakuambia ili usiwe kama mdoago wako,,,Maana na wewe umeshaharibiwa akili hahahaaaa...
Hahahahaa!! Na mimi nikikojolea ntakuwa panya? au mbuzi maana yeye alikuwa dogo mimi umri umeenda kidogo hahahaaaa !!!! dah!!Kuwa kafiri raha sana.
Adhabu atakayo ipata, anaijua Mwenyezi Mungu mwenyewe. Yeye hapangiwi. Nakushauri usije ukafanya hivyo, Remember Almighty God is not Mocked. Hata Firaauni, alikua na kiburi kama chako, na akaenda mbali zaidi akajiita Mungu.
Miujiza ya mungu ilipotokea, ndio ukawa mwisho wake.