Waisrael siyo waarabu wenye dini tofauti na waarabu wengine.
Kama Ni waarabu kwanini wawe na akili kuzidi wenzao? Au wale waarabu waislam akili zao zilipunguzwa na dini?
Hakuna hahlja Hadi mtu aseme Yesu Ni Mungu ndo awe Mungu.
Mungu mwenyewe alidhihirisha Hilo miaka zaidi ya 2000 ikiyopita, hakuhitajiki ushahidi wa mwanadamu Leo kuthibitisha Uungu wa Yesu.
Wewe ndiyo hujui, Ni kweli wachaga wapo sehemu nyingi Sana na wanafanya biashara kuliko kabila lolote Tanzania, ila hii haizidi wasukuma wapo mjini na vijijini wakishughulisha na kazi ngumu ngumu za maguvu na za kawaida.
Wapo wengi kuliko wachaga.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.