Recent content by Mwamposa1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa mujibu wa Biblia, kufa chini ya miaka chini 70 sio mpango wa Mungu

    Ndiyo maana alifufuka.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Binti wa miaka 15 mwenye uraibu wa dawa za kulevya

    Mungu alishamaliza kazi, mwacheni apumzike wanaoamua kumwabudu wafanye hivyo, siyo kumpa kazi za ku deal na walevi .
  3. M

    JamiiForums Tanzania Leo hii Trump anaomba kukutana na Ayatollah Mojtaba: Kongole Iran

    Ayatollah hajaonekana tangu ateuliwe, Trump kachoka kuongea na mzimu anatakumuona maana wanahisi yuko mbinguni kitambo.
  4. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kugawa baiskeli siyo rushwa ya uchaguzi?

    Kaiba baiskeli umepokea, akiiba kura pokea pia.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wadada wanaovaa madera

    Na akina dada nao wanapagawa na kanzu?? Maana bila chupi mkuyeyenge unayumba kulia na kushoto .
  6. M

    JamiiForums Tanzania Israel ya sasa ni ya waisrael au wazungu wanaojifanya waisrael?

    Waisrael siyo waarabu wenye dini tofauti na waarabu wengine. Kama Ni waarabu kwanini wawe na akili kuzidi wenzao? Au wale waarabu waislam akili zao zilipunguzwa na dini?
  7. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kundi la “Wachokonozi” wamekamatwa na watu waliodai kuwa ni Askari Polisi katika eneo la Maji ya Chai, Arumeru, Arusha

    Mama keshasema msikazimishe vyombo vya ulinzi kufanya mengineyo.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kim Younhoon ndio mtu mwenye akili kubwa kuliko wote duniani, amesema Yesu ni Mungu

    Hakuna hahlja Hadi mtu aseme Yesu Ni Mungu ndo awe Mungu. Mungu mwenyewe alidhihirisha Hilo miaka zaidi ya 2000 ikiyopita, hakuhitajiki ushahidi wa mwanadamu Leo kuthibitisha Uungu wa Yesu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Sifurahishwi na dhihaka zinazofanywa dhidi ya Wasukuma Mitandaoni

    Wewe ndiyo hujui, Ni kweli wachaga wapo sehemu nyingi Sana na wanafanya biashara kuliko kabila lolote Tanzania, ila hii haizidi wasukuma wapo mjini na vijijini wakishughulisha na kazi ngumu ngumu za maguvu na za kawaida. Wapo wengi kuliko wachaga.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: "Tusilazimishe Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama Kufanya Mengine"

    Wakiamua kufanya hayo mengine.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Top 10 ya Makabila yanayoongoza kwa kula chakula kingi hapa Tanzania

    Wasukuma lazima wawe namba wani kila sector. Kwa sababu wako kila mahali Tanzania, wanachapa kazi so mchezo. Ulitaka awemo mzaramo anafanya kazi gani.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa Biashara ya Mbuzi imekuwa kama Pembe za Ndovu, baadhi ya mikoa ni ngumu sana kupata

    Wanazaa kidogo kidogo Sana, wafungaji wamehamia kwenye mbuzi katoliki
  13. M

    JamiiForums Tanzania Six days war ilifanikiwa vipi ? Kipi kina shindikana sasa ?

    Kwani wakati huo kulikuwa na simu za rununu (smart phone)? Nini kilishindikana?
  14. M

    JamiiForums Tanzania 2025 FIFA Club World Cup - Special Thread

    Utachoka Sana kusimama na timu zote za Africa. Ungelala nazo tuu.
Back
Top Bottom