Recent content by Mwamposa1

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Hakuna kipato cha kutosha kwenye maisha. Hiyo 300k mkielewana na mkeo inatosha kusongesha maisha. Zingatia neno mkielewana. Hata mabilionea maisha ya kuwa na mke wengi wameshindwa. Chukua jiko msaidiane kuongeza kipato.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Ilala wamuomba raisi Samia kusaidia mgogoro wa Masjid Al Rishaad

    Nenda kwa wa Taleban uone wanawake wanavyosurubiwa kisa dini.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Unashauri kipi kiongezwe na kipi kiondolewe kwenye mfumo wa JF?

    AI ina uwezo wa kujua. Hapo waihusishe humu JF.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Makonda: Lissu ni mropokaji hata mazungumzo ya CCM na Upinzani tulimtumia sana Mbowe, anatunza siri

    Keshajibu, aliratibu mashambulizi dhidi ya Lissu sababu Lissu mropokaji hatunzi siri! Unataka jibu gani tena ?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hakuna mtu mwenye maisha magumu kama mtu mwenye pesa

    Kama huna akili huwezi kuwa na pesa. Wewe tukuza huo umaskini wako kama ndo akili yako ilivyo.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ndege ikiwa inapita angani mbona kama inatembea taratibu?

    Akili za maccm hizi.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ananipenda sana!

    Aluyewaumba kasema tuishi nao kwa akili, hakuna mwanamke ameamrishwa kupenda mwanaume, kaambiwa watiini waume zenu fullstop.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wife hapendi niwe namchungulia utupu wake

    Doggy mnazima taa?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Team Yuda mpoo?

    Kumnyorosha.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Jamii yatunyooshea vidole kisa kila ndoa inavunjika

    Mteja wa Mwamposa huyu hapa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tukishamfukuzia huyu Kizimkazi; Je, ajaye naye tumfukuzie Ikungi?

    Ni mandezi kweli, ulishaona mandezi mkatia chocolate zenu Zanzibar?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaogopa kufa?

    Kuzaliwa pia ni kiboko ya mwanadamu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwanaharakati Malisa GJ adaiwa kutelekeza wanae watatu

    Hao watoto wana umri gani? Huyo mwanamke aliachwa kwa sababu gani?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Hisia za jamii kuelekea 7/7: Je maandamano yapo au hayapo?

    Hali ikoje huko? Mmetoka leo?
Back
Top Bottom