Upo vzrii ndugu ,,ila niamn kweli ulimpenda lkn babu next time usiwaamini kbsaa hawa watu,,,,,,Nikushaurii kitu bado unaweza chagua mmoja ukaish naye na akakuzalia watt kimachale sana,,dont trust
Santhe mkuu,,maendeleo hayana chama,, pia huwezi kuwa adui kwa kusema Ukweli!!Hao wanaojifanya kuwa na mke mmoja wamejaa tele makanisani,,Ukiwaona kama watu,,lkn huko nje wamezaa na dada zetu hawataki kujulikana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.