Recent content by Mwampinga

  1. M

    True Story: Na hii ndio sababu kwanini situlii na demu mmoja

    Upo vzrii ndugu ,,ila niamn kweli ulimpenda lkn babu next time usiwaamini kbsaa hawa watu,,,,,,Nikushaurii kitu bado unaweza chagua mmoja ukaish naye na akakuzalia watt kimachale sana,,dont trust
  2. M

    True Story: Na hii ndio sababu kwanini situlii na demu mmoja

    Diiiiiih binafsi nimepitia hayo na niseme tuu ukweli hii storii hyu jamaa ina ukwelii 100% very interesting na inahuzunisha
  3. M

    HATIMAYE: Mariam wa Biriani la Tabata aji-Amberrutty

    Hali imekuwa ngumu sanaa kwa ujumla hvyo bac biashara matangazo,,,Kwa ss ndio kbsaaa watu wanajaaa zaidi!!
  4. M

    HATIMAYE: Mariam wa Biriani la Tabata aji-Amberrutty

    MHmm ndio kwanza wanajaaa sana
  5. M

    Unajiita mwanaume halafu una mwanamke mmoja??!!

    Santhe mkuu,,maendeleo hayana chama,, pia huwezi kuwa adui kwa kusema Ukweli!!Hao wanaojifanya kuwa na mke mmoja wamejaa tele makanisani,,Ukiwaona kama watu,,lkn huko nje wamezaa na dada zetu hawataki kujulikana
  6. M

    Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

    mhmm ss hapo hakuna msaafu unaoruhusu mwanamke kumiliki madume mawili
  7. M

    Kwanini wake zetu hawatuamkii asubuhi?

    Hya ss tuambie wewe maana ya hyo shikamoo!!
  8. M

    Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

    E bwana unaweza nielekeza hvyo vikundi wanafanyia wapi//?? maana natafta mlokole wa kuzaa naye
  9. M

    Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

    😀😀😀😀,Huwezi kuwa adui kwa kusema ukweli!!
  10. M

    Wanawake ukubalini huu ukweli mchungu

    Wasijicheleweshe akitokea mwenye mke akatak uwe mke wa pili usijishauri twice
Back
Top Bottom