HATIMAYE: Mariam wa Biriani la Tabata aji-Amberrutty

Status
Not open for further replies.
Tz ya uchumi wa Kati bado sana kuifikia
Yaani tungekua tuna shahuku kiasi hiki kutafuta maarifa ya kutujenga na kusubutu kufanya tafiti na biashara , hakika tungekua mbali sana.

Cha ajabu kutwa nzima busy kupata habari za katikati ya mapaja na nyuma ya choo.

Huu uzi umenifanya kufikiria upya aina ya wana Jf wa nyakati hizi Kama wenautofauti na yule choko wa Insta...Jumalokole!!
mkuu hebu angalia tena hili ni jukwaa la nini,ukitaka kula unaenda dining table,sasa kukuta mapoint ya maendeleo jukwaa hili ni kama kuamua kukojoa madhabahuni
 
Hali imekuwa ngumu sanaa kwa ujumla hvyo bac biashara matangazo,,,Kwa ss ndio kbsaaa watu wanajaaa zaidi!!
 
MMMMH!!! Inasemekana Wateja wa Biriani ndo wameongezeka mara dufu.. Yaani wananchi wanaenda kupata huduma zote#, Biriani na Mfegenyelelo..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom