Leo nikapita na movie ya kuitwa Custom Frontier toka huko Hong Kong. Picha linaanza tu! Nikaona bendera ya Tanzania, nikasema haa! Ina maana hii ngoma location yake ni TZ? Ila baadaye wakaitaja ile nchi ni Jamhuri ya Loklamoa.
Nkajiuliza, ina maana kuna nchi inaitwa Loklamoa na ina bendera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.