Leo nikapita na movie ya kuitwa Custom Frontier toka huko Hong Kong. Picha linaanza tu! Nikaona bendera ya Tanzania, nikasema haa! Ina maana hii ngoma location yake ni TZ? Ila baadaye wakaitaja ile nchi ni Jamhuri ya Loklamoa.
Nkajiuliza, ina maana kuna nchi inaitwa Loklamoa na ina bendera...