Akili za Mungu haichunguziki isaya 40:28 Mawazo ya mwanadu si ya Mungu isaya 55:8-10 Kwa kuwa unajifanya una akili Mungu atakuacha ufuate akili zako Rumi 1:28 kuna elimu inayo jiinua kuhusu Mungu inateka fikra 2Wakorinth 10:3-6 Mpumbavu asema moyoni hakuna Mungu
Usikurupuke usicho kijuwa Yakobo 4:7 Mtiini Mungu mpingeni shetani naye Atawakimbia maaniko mengi sana ninachotaka kukwambia acha kukurupuka mara moja
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.