masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,009
Wanaoelewa wanasubiri kuona nguvu ya roho uliye nae , sasa wanashangaa unavyokwepa swali wakati lipo uchi kabisawanaoelewa washaelewa chief. ukiwa mtu mzima uko huru kuchagua kesho yako.
Wanaoelewa wanasubiri kuona nguvu ya roho uliye nae , sasa wanashangaa unavyokwepa swali wakati lipo uchi kabisawanaoelewa washaelewa chief. ukiwa mtu mzima uko huru kuchagua kesho yako.
Mbona watufatilia sanaPia kuacha huyo mwanadamu aliyezaliwa miaka 500 baada ya Kristo aliyepinga uungu wa Yesu, ....
pia yupo mwanadamu mwingine aliyezaliwa 1827(Ellen Gould White) na kuanzisha dini yake ya Seventh day Adventist alipinga Utatu Mtakatifu na Uungu wa Yesu...
Naendelea kufyonza
WewePia kuacha huyo mwanadamu aliyezaliwa miaka 500 baada ya Kristo aliyepinga uungu wa Yesu, ....
pia yupo mwanadamu mwingine aliyezaliwa 1827(Ellen Gould White) na kuanzisha dini yake ya Seventh day Adventist alipinga Utatu Mtakatifu na Uungu wa Yesu...
Naendelea kufyonza
Tofautisha kuelewa/kujua na kuamini,wewe unaamini hivyo unavyo amini na si kwamba unaelewa hicho unachokiamini na ndiyo maana kuelezea inakuwa shida maana ni jambo ambalo halieleweke.naomba nikusaidie kwa njia hii labda utanielewa.
Mungu ni Roho na sio mwili hicho unachokiona wewe kimekufa ni mwili sio Roho.na tofauti ya Waislam na wakristo
mkuu kabla cjakujibu hili unatakiwa weww binafs ujue na hapo ndio tofauti yetu na waislam.
Mungu ni Roho na wanaomwabudu inawapasa kumwabudu katika roho na kweli sio kuwaonyesha watu mahudhurio yako ya ibada.
pili tukija kwenye suala lako ni hiv.
Mungu anaweza akaamua akawa binadam na akaamua huu mwili ufe lakin unachotakiwa kujua ni kuwa Roho haifi Mungu sio mwili ni Roho so kuja kwetu katika umbile la kibinadam haimaanish ana mwanzo so na mwisho pia. ukisoma Biblia inasema usmwite Yesu ni Mungu kama huna Roho Mtakatifu ndan yako. na wala huu mwili na akili yake haziwez kugundua hilo ila Roho Akikaa ndan yako atakujulisha hilo so mi siwez kukulaumu kwa kutokuamin hilo coz hilo kibinadam haliwezekan ila kwa Mungu. ukisoma Biblia inasema wakat ule wa manabii wana wa manabii ndio pekee waliofanikiwa kumjua Elisha kuwa ile Roho ya eliya nabii ilikuwa juu yake so hiv vitu mzee ni Roho tu atakufunulia. Yesu alimwambia Petro mwili na nyama havikukufunulia haya ila baba yangu aliyeko mbinguni. tena anasema haiwezekan kumpendeza Mungu pasipo na huyo Roho mtakatifu. so ukijua nguvu ya Roho ndio utajua ulimwengu mkamilifu unavyofanya kaz. biblia inasema huyo Roho akija atatujulisha kweli yote. so njoo kwa Yesu bro ukimjua utapata raha na aman ipitago faham zote.
Huyu kijana uwa anachekesha sana, sasa wahab ndio mtume? ngoja nikupe maneno yaliojaa hekima nyingi na kupinga ubaguzi kutoka kwa mtume sio huyo kichaa mwenzio wahabaya hii hapa View attachment 953385View attachment 953388 ndipo alipo sema huyu View attachment 953393 meza huo wembe dogo
Electricity,radio waves,colour,infrareds,etc are physical quantities can be measured 100%....Kuna physical quantities chungu nzima ambazo hazionekani kwa macho ila zinapimika..sasa sijui unazichanganya na uonekanaji wa mungu wenu huyo kivipi?
Kupimika maana yake effects zake ni sehemu ya maisha. Je,effects za uwepo Wa Mungu huzioni?
Nisikilize vizuri hapa Tunajadili uelewa wako juu ya maandiko , hatuwezi kubali kilaza kama wewe utuletee tafsiri za uchochoroni tukukubalie lazima tukuhoji tujue akili yako inaelewa nini ? Quran imetuonya juu ya watu kama wewe ambao mnaweza kututoa katika uislamu wetu
QURAN 3:100
";Enyi mlioamini ! mkiwatii baadhi ya wale waliopewa kitabu WATAKURUDISHENI kuwa MAKAFIRI baada ya uislamu wenu";
lazima tukuhoji kuwa mpole kijana
TUANZE KWANZA KWA KUKUBALIANA
JE MUNGU NI NINI?
THEN TUTAONA KAMA YUPO AU HAYUPO NA YUPO WAPI NA HAYUPO WAPI NA KWA WAKATI GANI
Usomi wao na uchamungu wao ni kwasababu wakiona haki wanafuata , lakini wajinga kama wewe mkiona haki mnaipiga mawe ahhhahhaahaaahhha (Quran 5:83)
QURAN 3:19
";Bila shaka dini ya HAKI mbele ya Mwenyezi Mungu ni uislamu";
Wasomi waliotajwa hapo wakishajua kuwa uislamu ni haki mara moja wanafuata , labda tukuulize wewe unafaata ?
Mbona wengi tayari wameshamuamini mtume na wameachana na upunguani wa Mungu mtu, unashangaa ushuzi badala ya kushangaa kile unachokiamini kuwa Mungu alibakishwa na kakaptula anapigwa na baridiSioni walipo ifuata HAQI ya baba kasimu ilaha bado wapo MAKANISANI na kila siku wanashahadia HAKUNA MUNGU APASWAYE KUABUDIWA KWA HAQI ILAHA YESU NA PROF PAULO NI MTUME WAKE Hii NDIO HAQI WALIO IFUATA NA muhammad AKAWAPA DARJA LA USOMI NA UCHAMUNGU nyinyi HAQI mnaiona lakini mnatakaabari na kuendelea kukamuana ngama, kupulizwa makalio na shetani miskitini kila siku mara.5 View attachment 954656 kupiga kata.3 mkivutuana na View attachment 954662....nk nk nk nk
Tutaendelea kukuweka sawa mpaka adabu itakapo kupatawee tayari ni kafir innsui umesha pigwa muhuri usione tu-chàt na wewe hivyo huna HAQI tena kusikilizwa tunakutumia kama ubao wa kufundishia wengine ilaha haqi yako unayo idai ni kurudishwe kwa shehetan akupopoe MAWE na kukutia adabu full stop
Usomi wao na uchamungu wao ni kwasababu wakiona haki wanafuata , lakini wajinga kama wewe mkiona haki mnaipiga mawe ahhhahhaahaaahhha (Quran 5:83)
QURAN 3:19
";Bila shaka dini ya HAKI mbele ya Mwenyezi Mungu ni uislamu";
Wasomi waliotajwa hapo wakishajua kuwa uislamu ni haki mara moja wanafuata , labda tukuulize wewe unafaata ?
wee MBONA una akili ndogo hivi MTU akimfuata baba kasim bado ataitwa Mkristo tayari atajiita muislamu aya inasema WALE WASEMAO SISI NI WAKRISTO, SISI NI WAKRISTO NDIO WASOMI NA WACHAMUNGU Jiulize sasa kafir wewe jee WASEMAO SISI Wakristo wapo au hawapo kama wapo hao ndio aya inawahusu na si mwingine YEYOTEMbona wengi tayari wameshamuamini mtume na wameachana na upunguani wa Mungu mtu, unashangaa ushuzi badala ya kushangaa kile unachokiamini kuwa Mungu alibakishwa na kakaptula anapigwa na baridi
Tutaendelea kukuweka sawa mpaka adabu itakapo kupata
Kujamba ni maumbile ,ni afya hili halina mjadala sasa umeishiwa unajadili ushuzi ahahahhaahahahaKwa kufanya zoezi la kujamba huku una ugonjwa wa kuhara unanuka njia nzima sasa
Sasa akisha ifata haki si anakuwa MUISLAM , lakini kwanini amekuwa MUISLAM ? Kwa sababu alikuwa mkristo msomi ndio maana alipoona haki akaifuta , kinyume chake wale WAKRISTO vilaza hata waone haki awaifuati ndio wewe kilaza mgeni kila siku unaambiwa Mungu hawezi kunya lakini masikini uelewiwee MBONA una akili ndogo hivi MTU akimfuata baba kasim bado ataitwa Mkristo tayari atajiita muislamu aya inasema WALE WASEMAO SISI NI WAKRISTO, SISI NI WAKRISTO NDIO WASOMI NA WACHAMUNGU Jiulize sasa kafir wewe jee WASEMAO SISI Wakristo wapo au hawapo kama wapo hao ndio aya inawahusu na si mwingine YEYOTE
bla bla blaaàâ haya tuwekee ayat humu allah amesema wale WASEMAO sisi ni waisilamu ni WASOMI NA WACHAMUNGUSasa akisha ifata haki si anakuwa MUISLAM , lakini kwanini amekuwa MUISLAM ? Kwa sababu alikuwa mkristo msomi ndio maana alipoona haki akaifuta , kinyume chake wale WAKRISTO vilaza hata waone haki awaifuati ndio wewe kilaza mgeni kila siku unaambiwa Mungu hawezi kunya lakini masikini uelewi