Blackninja
JF-Expert Member
- Aug 26, 2018
- 380
- 322
- Thread starter
- #21
Vyumaaaa mkuuuPale unapojaribu kutafuta grisi kmwa njia mbalimbali
Vyumaaaa mkuuuPale unapojaribu kutafuta grisi kmwa njia mbalimbali
Nipo tayari...... Next time ukiona kitu huelewe achadawa ya kupata pesa ni kuingizwa misumari robo makalioni upo tayari??
Halafu ukautumie wapi huo uelewa??Nakuza uelewa tu mkuu
Halafu ukautumie wapi huo uelewa??
Me nshakubaliana na masharti ......... Ninachoomba direction vingine mniachie mwenyewePesa yenyewe inatengenezwa kichawi unategemea jibu gani ?? Unaweza ukaletewa box limejaa wekundu wa msimbazi kutoka baharini ila tu ukubaliane na masharti
Achana na hizo pesa. Bora elfu mbili ya furaha kuliko milioni mbili ya mashaka.Kila kitu kina 7bu zake mkuuu na kila MTU anajua yeye anatafuta vipi pesa
Nenda Jamii intelligence kamtafute rakims anajua!Imekuwa ni kawaida kusikia kuwa flani ana pesa za kichawi .....
Swali langu je ni kweri hizo pesa zipo?????
Na kama zipo zina mwingiliano gani na pesa halali ?
Acha mawazo potofuWakuu kama mnavojua vyuma vimekaza jamani nataka nikajilipue kwa sangoma ....... Kwa masharti yoyote nipo tayari Kama kuna yoyote anaejua direction anijulishe
Nipo serious wakuu
Nenda Tunduma utazipata za kuku kudonoa mahindi,nenda Malawi maeneo ya misuku,chitipa,chinunga na sehemu zingine hela hizo zipo, ila wakati unafilisika hata nyumba zinabomoka,magari yanakuwa skerpa baada ya muda fulaniImekuwa ni kawaida kusikia kuwa flani ana pesa za kichawi .....
Swali langu je ni kweri hizo pesa zipo?????
Na kama zipo zina mwingiliano gani na pesa halali ?
Mbona ninyi wenyewe mlioko huko ngende hamko vizuri ?Aje ngende...
Hakuna kitu kama hicho. Yaani uletewe pesa tu kwenye box!!!!???? Haitokei Fanya kazi, Fanya biashara utapata pesa.Pesa yenyewe inatengenezwa kichawi unategemea jibu gani ?? Unaweza ukaletewa box limejaa wekundu wa msimbazi kutoka baharini ila tu ukubaliane na masharti