Mheshimiwa Gwajima,hongera sana kwa namna unavyojitahidi kutekeza majukumu yako. Una ukaribu mkubwa na wananchi na unatatua changamoto nyingi zinazowasilishwa kwako kupitia mitandao ya kijamii.
Mungu akutie nguvu uendelee na ari hiyo ya kazi
1:Deni,nilimkopesha fedha ndefu ili alipe mahakamani alikokua na kesi ya madai sikuwahi kulipwa pesa yangu mpaka leo
2:Usaliti,kuna fala mmoja nilikua karibu nae sana ila ndo hivyo tena alikua na tabia ya kutongoza mademu ziangu(akiwa anajua kabisa)then baada ya mimi kuoa akaanza mazoea...
Ujana unategemea na jinsia,kwa wanawake unaishia miaka 30 baada ya hapo ni shangazi/mama/bibi.....kwa mwanaume ujana unaishia miaka 59 baada ya hapo ni babu
Trh 1.1.2024 pombe ilinidhalilisha.Nilinunua chupa kubwa ya grants mimi na mwana tukaanza kutumia....Sikufika nusu nikalewa chakari,nilitapika sana.Nakuja kuamka saa 12 asubuhi.
Sinywi tena pombe kali,ninaendelea na bia
Nilijiona nmekua baada ya
1:kutimiza miaka 35
2:Ongezeko la shikamoo
3:First born kutimiza miaka minane
4: Ongezeko la watu wanaonitegemea kifedha,ushauri
Remote yangu ya startimes ina miaka 7 sasa inafanya kazi bila shida ila kwa bi mkubwa kuna Azam nilishanunua mbili na hata wanayotumia sasa hivi iko hoi
Nilichukua mkopo crdb million 18,400,000 mwaka jana,rejesho ni 28,000,000kwa miaka sita(riba million 8)Nafanya biashara ambayo nna uhakika wa kuingiza million 2 kwa mwezi.Sina maumivu yoyote na mambo yanakwenda vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.