Agizo hilo limetolewa na katibu mkuu wa ccm mhe Abrahaman kinana akiofia kuwa ziara zake zina lenga kujinadi kisiasa mbio ambazo zinaelekea ikulu,mmh mwaka huu tutaona mengi sana yatatokea
Hamsini miaka kenda na tatu juu yake naumia na kupata machungu kipi cha watesa hawa masikini wezangu waliokosa upeo kama wa macho yangu.taifa linalopoteza matumiini kwa demokrasia isiyo kuwa hai,ndugu zangu sina budi kurudi siasa ya ujamaa(socialism) chini ya USSR na ikiasisiwa na hayati jk...
Naanza kwa salamu za mwaka mpya wa jf members,lakini shauku langu kubwa ni tunapoelekea uchanguzi mkuu natumaini kazi ipo nanukuu usemi wa mtu maarufu duniani martin luther king "if u can't run,Just walk and if u can't walk just crawl ".with people's power Tanzania will move into political...
Hiyo shule ya Tanganyika nayoifaham mimi ipo masaki na aitumii mitaala ya Tz na mitihani awatungiwi na balaza sasa wewe sijui unazungumza nini utumbo na ndizi tu,mimi nilijua labda kuna shule ya kata kama vile kimbiji sec school
Wakati video ya platinumz mimi namuita president kwa sasa,watu walianza gumzo kwamba video aiendani na ngoma yake na wale walikuwa fans of Alikiba,sasa kiko wapi kwake ambaye ndo ameharibu kabisa yaani mara mia asilimia,je mnasemaje wadau
Nakumbuka wakati nafuatilia hotuba ya mh.rais wa anachambua viwango vya fedha,alitamka kuwa fedha ya tz ni ya madafu,je usemi huo hauendani kushuka kwa thamani ya fedha yetu,hivi rais anatamka maneno kama haya na anacheka kama mazuri vile,kwakweli sina imani na rais
Wakati anaingia madarakani alisema vijana ndo nguvu na tegemeo la taifa la Tz,tafsiri yake kwamba wazee ni kundi ambalo tegemezi,sasa cha kunishangaza badala ya kuita vijana,anaita wazee wasiojua kuongea ,na kama ndo hvyo kwanini asifanye awamu kwa awamu vijana na wazee,naamini wale aliowaita...
Tukio hilo limetokea tarehe 14 punde baada ya mtu huyo kuingia na kuanza kupiga kura kwa kukunja karatasi mbili mbili,wakati anaendelea baadhi ya karatasi ziligoma kuingia na kuchelewa ndipo askari wakatahamaki na kugundua tatizo lakini licha ya ivyo ushindi ulikwenda kwa chadema ongera sana...
Ndugu zangu napata wasi wasi sana kuwa ccm ndio mwisho wa safari yake na hasa wakisubutu kumsimamisha huyo anayejifanya mtoto wa mkulima kumbe mwizi tu,kwaheri ccm
Nakuwa najiuliza maswali mengi sana hasa kwenye sector ya filamu na hata music pia unamkuta msanii mkongwa katika tasnia hii lakini akuna maendeleo kabisa swala la kujiuliza pesa wanapeleka wapi au uwa awapati wanafanya kazi ya bure,inaumiza sana wana jf nahamu sana ya kujua tatizo liko wapi au...
Ni takribani miaka 10 baada ya kutoonana na mtoto wa shangazi my cousin wa kike, ghafla napewa namba yake na kuanza mawasliano na kunitumia picha zake jinsi alivyo kuwa na hata zingine akiwa naked.
Ofcourse ni mzuri sana wana JF ila nashindwa kuhusiana nae kimapenzi japo ananishawishi tufanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.