Recent content by Mwambwaro

  1. Mwambwaro

    Choo kigumu (kama jiwe)

    S ule vitu lain
  2. Mwambwaro

    Hali ni Tete

    Hapo mazoez haitoshi hapo unatakiwa kuwa jasiri
  3. Mwambwaro

    Nimechukizwa sana kuona Majeshi yetu yanaonesha umahiri wao kwa kubeba kilo 70 za mizigo

    Wajitahidi siku nyingine watuonyeshe na kurusha kitu chenye ncha kali mpaka Malawi
  4. Mwambwaro

    Freddy Michael a.k.a Funga Funga

    Hiz n akili za chanjo za korona
  5. Mwambwaro

    Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

    Yan unaonekana mpole sana mm ningeshavunjilia mbali na niko ndan ya sero
  6. Mwambwaro

    Vyuo vikuu vya Marekani vilivyohusika katika maandamano ya Wapalestina: Netanyahu anasema ni Hamas

    Wanajisumbua tu myahudi akiamua jambo lake ameamua
  7. Mwambwaro

    TFF na Bodi ya Ligi mnaogopa kuufungia uwanja wa JKT Tanzania au kwakuwa ni uwanja wa Jeshi?

    Huu uwanja s ulifungiwa kwakuwa uko karibu na kambi ya jeshi
  8. Mwambwaro

    BAKITA mtatuua ni hiki Kiswahili chenu mnachokiita "Fasaha"

    Hawa hawajuigi kuwa lugha inakua wakogo kuzamani tu
  9. Mwambwaro

    Kiki za kijinga zimemgharimu GB 64

    Kukosa kaz tu mpira una mihemko yake kama shabiki
  10. Mwambwaro

    Anayejua shule ya sekondari inayomilikiwa na masisita Arusha

    St teza au st Teresa Teresa kisongo
  11. Mwambwaro

    Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Ukiwa unafikiria kumuita jina la kiafrika pia jaribu kufikiria matendo ya watu wa Africa
  12. Mwambwaro

    Nimeona picha za wahudumu wa treni ya kisasa ya SGR ambayo inafanyiwa majaribio leo kutoka Dar -Dodoma

    Inatakiwa huduma ziwe nzur waache kuangalia sura hawa wanawake wanakuwaga na kauli chafu
  13. Mwambwaro

    Kwanini Mkuu wa Majeshi(JWTZ)anatokea Kamandi Moja tu, wakati tuna Kamandi Sita?

    Hiv mgambo nayo n kamandi kwanza maana ya kamandi ya jeshi tuna elimu kweli
  14. Mwambwaro

    Wavuliwa Medali kwa kumuachia Mchina ashinde riadha

    Africa kama Africa rushwa rushwa rushwa
  15. Mwambwaro

    Tahadhari ili kuepuka gharama uji wa ulezi huchanganywa na unga wa mchele

    Hahahah Tanzania bhana Kwan mchele n sumu inamana hujawah sikia unga wa lishe
Back
Top Bottom