Uchungaji ni taaluma mtu anakaa darasani ila skuizi uchungaji ni kama kipaji cha kuongea na mtaji wa kukodi eneo ukaweka spika kwishaa yaan kushika mistari kazaa kujua kuhubiri tayari daah haijakaa sawa kwa upande wangu tofauti na ndugu zetu waislam mtu ananza uostaz anakuja ushekhe sijui imam...
Kaka ni wasiwasi wako usimcheleweshe mtoto kupata upasuaji hii ilimtokea mtoto wa kaka angu Alikua na umri wa miaka miwili na nusu nenda hospital ya Regency au cardinal rugambwa moja kwa moja kwa daktari wa koo hii hali ni ya kawaida hoso zote mbili wana huduma nzuri katika sector hiyo
Nakumbuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.