Recent content by mwalwisi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Watalaam wa Kilimo

    Hiyo ya bibi Shamba imekaa vizuri ila yataka moyo. Shughuli zipo Mkuranga ndugu yangu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watalaam wa Kilimo

    Asante kaka ninashukuru sana kwa information hii itasaidia kweli
  3. M

    JamiiForums Tanzania Watalaam wa Kilimo

    Habari ya asubuhi wakuu, Jamani naomba kuuliza; hivi watalaam wa kilimo (Farm Manager/Bwana au Bibi shamba) wanalipwa mshahara kiasi gani? Mwenye diploma au certificate, ninauliza kwa kuwa nipo kwenye kilimo na kadri siku zinavyoongezeka natamani kulima kisasa zaidi hivyo ninahitaji kuajiri...
  4. M

    JamiiForums Tanzania MJADALA NA Mwigulu Nchemba Pamoja Na Kingwangala

    Wengi tunausubiri huu mdahalo, acha uwe kwa kimombo ili watukanaji wapungue tuweze kufaidi madini toka kwa wahusika
  5. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Mulugo azidi kuandamwa

    Ni raha sana kuwaona wanasiasa wawili au zaidi wakilumbana, hofu yangu isije ikawa ni janja yao ya kutaka kutuondoa katika focus ya maendeleo ili tusifanye appraisal ya kazi zao. Lakini pia unachokisikia kutoka kwao sio kweli kwamba siku zote kinawakilisha picha halisi. Sijajua kama ni makosa ya...
  6. M

    JamiiForums Tanzania CPA(T) v/s MASTERS

    Ndugu yangu chaguo la elimu ni lazima lifuate malengo yako. What do you want to achieve? ukiishajua hilo tafuta aina ya ujuzi au cheti kitakacho support muelekeo wako. Vinginevyo utafanya masters au CPA na usijue cha kufanya au ukawa mtu wa wastani katika mafanikio. Nimesema haya kutokana na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Activation key for window 7

    mkuu yangu ni window 7 ultimate inagoma
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka bungeni: Uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki

    Tayari ila kiinglishi kimetusumbua saaaana
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka bungeni: Uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki

    Jamani mbona Sugu haulizi swali?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka bungeni: Uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki

    Kidhungu issue kwake
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka bungeni: Uchaguzi wa wabunge wa Afrika Mashariki

    LAT Kwa mtazamo wangu swali la Mwakyembe lilijitosheleza na la muhimu sana kwa kuzingatia hali ya sasa ambapo kuna unfair flow of resources. Ukiliangalia kwa undani (wazungu wanaita reading between the lines) utaona umuhimu wake, na ninafikiri kama Shyrose angeweza kujibu vizuri lile swali...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kilimo bora cha Mananasi: Uandaaji wa shamba, upandaji, utunzaji wa mimea na uvunaji wa mananasi

    Mkuu mbona nimepiga namba hiyo jamaa kaniambia hausiki na mambo ya kilimo?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kilimo bora cha Mananasi: Uandaaji wa shamba, upandaji, utunzaji wa mimea na uvunaji wa mananasi

    Kaka nipo Dar nalimia Mkuranga katika vijiji vya mkiu na Mkuruwili, nahitaji mbegu kwa ajili ya mkuruwili
Back
Top Bottom