Kadiri utakavyo waghasi wapinzani wako ndivyo utakavyo wajenga, na ndivyo utakavyo jibomoa mwenyewe, ukibomoa vyama vya upinzani ukumbuke unajenga imani ya upinzani ndani ya mioyo wa walr unaowakandamiza ambao ni wengi kuliko viongozi wachache wa upinzani, mh Raisi upinzani ni imani ni zaidi ya...
Kwa uongo mliotengeneza mkutano wa moshi, siwaamini ccm kwa chochote mtakacho post wala kutamka, nahisi inafanya kazi kweny magazeti ya uhuru na mzalendo.
Umaarufu na muonekano wa chadema kwa sasa umeletwa na ubunifu na uanaharakati wa mbowe,tangu mwaka 2005 hadi sasa huyu mtu amefanya mageuzi makubwa sana ndani ya hiki chama,jaribu kufuatilia kwa umakini historia ya hiki chama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.