Na mamaako labda
Maandishi mengi hayo yanaonyesha hutumii akili yako vizuri kupambanua mambo vizuri sasa sijui hata kura zako utazidisha pia.Mtoa mada hata mimi kura yangu ni kwa DR. POMBE MAGUFULI, hapa kazi tu.
He,yani ninyi wooooote ni Magufuli, basi ata mimi pia ni Magufuli.
Hapa kazi tu buana.
Hata mume wangu nae ccm!
MIMI TAREHE 25 NI CCM:
Nimejipanga kisaikolojia,kimwili na kiakili,mimi tarehe 25 Oktoba kura yangu ni kwa CCM tuu