Unaweza ukatumia Adobe Acrobat online PDF compressor ili ui squeeze hiyo cover letter mpaka kwenye kiwango cha mb kinachohitajika. Muhimu kufata masharti yote yanayohitajika na ajira portal ili system ikubali application yako
Habari wana JF,
Kwa yeyote anaehitaji msaada wa jinsi ya ku apply ajira za utumishi kupitia ajira portal basi ani DM.
Kama una changamoto yoyote unayoipata wakati wa ku apply basi anifate inbox nami nitamuelekeza kwa kadiri ya uelewa wangu.
Karibuni.
Kutoka 50 inakuja 38! Hakuna 40. Na hizo ziro zote vipi yani. Uite watu 6000 u short list 50 tu! Wengine wametokea songea, Sumbawanga, Bukoba kujaribu bahati zao. Serikali iangalie namna nzuri ya kuwafanyia usaili hawa job seekers kwa kuwapunguzia gharama kidogo, la sivyo vijana wata under go...
Pole sana mkuu,
Hilo unalopitia, watu wengi sana kwenye ndoa wanapitia. Wewe hauna upungufu wa nguvu za kiume wowote, ispokuwa hofu na wasi wasi ndio vinavyokusumbua. Na ukithubutu sasa kutaka ushauri kwa hawa watu wa dawa lishe au waganga, utapigwa hela mpaka uhisi kufilisika. Na ubaya wa...
Upo sahihi kabisa. Na hata atakaemkubali kwa sababu hizo anazozitoa basi atakuwa hajitambu. Hiyo inaleta picha kuwa amakuweka kwenye kundi la wanawake malimbukeni. Wanaoshtuliwa na magari na kazi nzuri. Farasi kabisa!
Sijakataa kuwa kuna kupambana sana ili utoke kimziki. Ni kazi saaanaa. Ninao marafiki wenye sauti za maajabu wakiimba ila mpaka leo ninaishia kusikiliza nyimbo zao gheto na kwenye magari yao. Muda wao wa kutoka bado, huenda siku za usoni watatoboa.
Lakini pia sio guarantee kuwa anayekusaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.