Mwenye kuhitaji msaada wa ku apply Ajira Portol

Mwenye kuhitaji msaada wa ku apply Ajira Portol

Joined
Nov 9, 2021
Posts
17
Reaction score
33
Habari wana JF,

Kwa yeyote anaehitaji msaada wa jinsi ya ku apply ajira za utumishi kupitia ajira portal basi ani DM.

Kama una changamoto yoyote unayoipata wakati wa ku apply basi anifate inbox nami nitamuelekeza kwa kadiri ya uelewa wangu.

Karibuni.
 
application letter Pdf max mb 2 ila yangu imekuwa 2.8 mb,, should i worry?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unaweza ukatumia Adobe Acrobat online PDF compressor ili ui squeeze hiyo cover letter mpaka kwenye kiwango cha mb kinachohitajika. Muhimu kufata masharti yote yanayohitajika na ajira portal ili system ikubali application yako
 
Nimeapply kaz utumish certify vyeti yan cha chuo na form four na birth ilaa sijachukua transcript inawez kuwa ssb nisiitw written

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Transcript, proficiency results, results sleep n.k hazitumiki, vinahitajika vyeti halisi
Elewa swali lake umshauri vizuri.

Academic transcript inatakiwa kuwekwa kwenye system na usipoweka means tayari utakuwa umezingua.
 
Back
Top Bottom