Habari wa JF nawajulisha kwa wale walioomba kazi Tanroads Tabora, majina ya usaili yametoka na usaili utaanza tarehe 1 hadi 2/6/22
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka link basi mahali pa kuyapataHabari wa JF nawajulisha kwa wale walioomba kazi Tanroads Tabora ,majina ya usaili yametoka ,na usaili utaanza tarehe 1 hadi 2/6/22
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wamebandika pale ofisini kwaoWeka link basi mahali pa kuyapata
Tupigie picha utupe huku kuna wanangu wengi waliomba udereva
Kesho nikipita pale nitapiga pichaTupigie picha utupe huku kuna wanangu wengi waliomba udereva
Yapo Daily news 21/05Ila tanroads bana. Wanashindwaje kuweka pdf ya Majina online.
vip yale maombi yetu ya sensa badoHabari wa JF nawajulisha kwa wale walioomba kazi Tanroads Tabora, majina ya usaili yametoka na usaili utaanza tarehe 1 hadi 2/6/22
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu umepigaje picha majina hayaonekani
Kwanini emu fafanuaUkiona hawapigi simu wala kuwatumia email ujue figisu zishaanza na washaanda watu wao tayari.
Wangapi wanasoma hilo Daily News na wangapi wapo huko Tabora kusoma majina yao ubaoni?Kwanini emu fafanua
KWA WEIGHTBRIDGE OPERATOR TUWASILIANE 0685241045TANROAD TABORA INTERVIEW SHORTLISTED APPLICANT 2022
KWA WEIGHTBRIDGE OPERATOR TUWASILIANE 0685241045