Recent content by mwalimu277

  1. mwalimu277

    Plot4Sale VIwanja vinauzwa Kerege

    Kilometa 25-30 Sina unakika
  2. mwalimu277

    Natafuta kiwanja/ Sehem nzuri ya kuishi/ Kujenga Dar es Salaam

    VIWANJA VINAUZWA. Eneo:- Kerege Urban Area(Kerege Kwa Kiwete). Umbali Kutoka Main Road(Bagamoyo Rd):- 400M. MAELEZO:- -Viwanja Viko Sita(6) vyote vimepimwa na vina Hati Miliki(Title Deed). -Viwanja ni vya Makazi na Biashara. -Maji ya Dawasco na Umeme wa Tanesco upo hapo viwanjani. -Eneo...
  3. mwalimu277

    Plot4Sale VIwanja vinauzwa Kerege

    VIWANJA VINAUZWA. Eneo:- Kerege Urban Area(Kerege Kwa Kiwete). Umbali Kutoka Main Road(Bagamoyo Rd):- 400M. MAELEZO:- -Viwanja Viko Sita(6) vyote vimepimwa na vina Hati Miliki(Title Deed). -Viwanja ni vya Makazi na Biashara. -Maji ya Dawasco na Umeme wa Tanesco upo hapo viwanjani. -Eneo...
  4. mwalimu277

    Msaidieni huyu kijana

    REHEMA HEALTH & FAMILY CONSULTANTS Huduma za Kifamilia Huduma maalumu ya upatanishwi katika migogoro mbalimbali ya kifamilia. Huduma maalumu ya ushauri na upatanishi katika migogoro mbalimbali ya familia, majirani na jamii kwa ujumla. Ushauri wa mahusiano na matatizo/migogoro ya ndoa...
  5. mwalimu277

    I am a straight guy,but am attracted to lesbians

    REHEMA HEALTH & FAMILY CONSULTANTS Huduma za ushauri wa Afya na Masuala ya kifamilia. Huduma zetu ni:- Huduma za kiafya Huduma za Afya ya mwili Program za mazoezi ya mwili kwa Afya njema na ukakamavu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za maisha ya kila siku. Program za mazoezi ya...
  6. mwalimu277

    Kanuni 30 kwa wanawake ndani ya ndoa

    KANUNI 30 KWA WANAWAKE 1). Usinyanyue sauti mbele ya mumeo kwa sababu yoyote ile. Hiyo ni ishara ya utovu wa heshima. 2). Usifichue udhaifu wa mumeo kwa familia na marafiki zako. Itakurudia. Wewe ni mlinzi wa mumeo, naye ni mlinzi wako. 3). Usitumie mhemko yako hasi kuwasiliana na mumeo...
  7. mwalimu277

    Wasichana: BirthDay 3 kwa Mwaka

    *Kadri Mbinu zao zinavyozidi kujulikana ndivyo na wao wanavyobadili mbinu na kuja na New Models za kufikisha Ujumbe* *WANAITWA WANAWAKE* *Ile style yao ya Bebi naomba Laki 3 nna shida ntakurudishia after 1 week ilifeli..Ikaja ya Baby naomba Laki 1 ya Saluni nayo ime* *expire...SASA:WANA...
  8. mwalimu277

    NoteBook

    Baada ya kumaliza sherehe ya ndoa yao, mama wa bibi harusi alimpa binti yake notebook yenye namba mpya ya Akaunti ya benki ikiwa na kiasi cha shilingi laki tatu. Mama alimwambia hivi, "binti yangu, chukua hii notebook, itunze kama kitu cha kuandikia rekodi katika maisha yako ya ndoa, chochote...
  9. mwalimu277

    Wasichana: Ngono haimfanyi mwanaume akuache ila tabia

    1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu. 2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana...
  10. mwalimu277

    Pigania ndoa yako si michepuko ya mumeo

    NIMEIKUTA MAHALI NIKAONA NI VIZURI KU-SHARE Kuna dada mmoja nikikuwa namfahamu miaka mingi sana. Kama miama 15. Kipindi hicho tukiwa ni wasichana wa miaka 25. Dada huyo ghafla akawa na mahusiano na mume wa dada yangu. Nilimchukia sana. Dada yangu alimchukia sana. Wote tulimchukia. Alikuwa...
  11. mwalimu277

    Mwanamke Vs Msichana

    Mwanamke ni nani? (sio msichana tafadhali) Mwanamke ni binadamu wa pili kuundwa na Mungu kutokana na ubavu wa Adamu. Mwanamke ni yule ambae huijua thamani yake angali bado mdogo aitha kwa kufundishwa na wazazi wake au kwa utashi wake binafsi. Mwanamke ameumbiwa mwanaume mmoja tu, mwanamke...
  12. mwalimu277

    Keep your husband

    KEEP YOUR HUSBAND . EVERY WOMAN SHOULD READ THESE 30 RULES FOR GODLY WOMEN----------- 1). Never raise your voice for any reason to your husband. Its a sign of disrespect.(Prov 15v1) 2). Don't expose your husband's weaknesses toyour family and friends. It will bounce back at you.You are each...
  13. mwalimu277

    Female Friend 50yrs

    karibu PM tafadhali
Back
Top Bottom