Kuna wanawake wako desperate kuolewa ila hawako tayari kuyaishi maisha ya ndoa.
Sasa uyo dada alitaka kuolewa tukashaolewa haja ya moyo wake imetimia sasa anajionea tabu kuwa mke wa mtu..
Wanawake tuolewe tukipendana na mwanaume sio kufata trend/kisa umri unaenda
Ampe likizo akajitafakari labda amemiss kuwa single mother tena.Hakuna anachokosa kabisa bajet kila kitu anapanga yeye na kupewa pesa na hiz hela za poket jamaaa kila wiki hakosi kumpa si chini ya laki kwa ajili dharura tu na gar anayo ya kutembelea lakini ndio hvyo
Na siku anaweza akaongea hata nikiachana na wew anasema hatokaa kuolewa Tena jamaaa anaumia Sana sababu anampenda sana
Mbona unayajua sana maisha ya mtu wako huyo? Isijekuwa wewe ndo unamfanyia hivyo m-sure wetu!Hakuna anachokosa kabisa bajet kila kitu anapanga yeye na kupewa pesa na hiz hela za poket jamaaa kila wiki hakosi kumpa si chini ya laki kwa ajili dharura tu na gar anayo ya kutembelea lakini ndio hvyo
Na siku anaweza akaongea hata nikiachana na wew anasema hatokaa kuolewa Tena jamaaa anaumia Sana sababu anampenda sana
Ni jamaa yangu Ni Zaid ya ndugu tunashare mambo meng SanaMbona unayajua sana maisha ya mtu wako huyo? Isijekuwa wewe ndo unamfanyia hivyo m-sure wetu!
Mambo ya ndoa magumu sana..jibu zuri mwambie ampe muda wife, time is the best healer of almost everything.
REHEMA HEALTH & FAMILY CONSULTANTS
Huduma za Kifamilia
Tupo:- Azura Health and Fitness
- Huduma maalumu ya upatanishwi katika migogoro mbalimbali ya kifamilia.
- Huduma maalumu ya ushauri na upatanishi katika migogoro mbalimbali ya familia, majirani na jamii kwa ujumla.
- Ushauri wa mahusiano na matatizo/migogoro ya ndoa.
- Ukusanyaji wa madeni ya kifamilia na wapatanishi wa migogoro/matatizo yatokanayo na madeni ya ndugu/familia.
- Ushauri wa masuala na mali za urithi, upatanishi na muongozo wa migogoro itokanayo na mirathi.
- Ushauri wa kifedha na miradi kwa wafanyakazi walio staafu au wanaotarajiwa kustaafu.
- Ushauri miradi na biashara za kifamilia.
Old Bagamoyo Road Opp. JKT Makao Makuu
Dar es Salaam
Call:-+255 672 128024
Njoo kwa Huduma Hii-
- Ushauri wa mahusiano na matatizo/migogoro ya ndoa.