Wasichana: Ngono haimfanyi mwanaume akuache ila tabia

Wasichana: Ngono haimfanyi mwanaume akuache ila tabia

mwalimu277

Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
18
Reaction score
54
1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu.

2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!

3. Uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa. Uzuri huvutia wanaume, ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe.

4. Pesa kiukweli ina faida sana na ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha na maisha.

6. Kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukakupa mume bora, sana sana utapata Boyfriends na wanaume za watu.

6. Tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo. Sex ni zao la mapenzi, mapenzi sio zao la sex.

7. Sex inaweza kufanya mwanaume alale na wewe usiku kucha, na asubuhi akaondoka zake ila upendo hufanya mwanaume aishi na wewe daima.

8. Kuna mambo mengine pesa haiwezi nunua kama tabia na heshima, kama ulikubali kuolewa nae kisa pesa zake. Usidhani kupitia pesa zake ataweza badilika.

9. Uvaaji wako siku zote ndio utakaoamua ni nini wanaume wazungumze na wewe!

Ni ukweli fulani hivi ambao ni mchungu!
 
wahusika wamesoma ujumbe naamini pia wameuelewa na wataufanyia kazi
 
Hizi ngonjera wala huwa hazina uhalisia hata kidogo, hazina uhalisia hata kidogo
Watu tunatofautiana, hata vigezo vya kumtafuta mwenzi vinatofautiana pia....
Kama we unapenda tabia, wengine wanapenda sura, wengine shape n.k sifa zako sio sifa za kila mtu kukariri hizi ujinga muache
 
1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu.

2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!

3. Uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa. Uzuri huvutia wanaume, ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe.

4. Pesa kiukweli ina faida sana na ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha na maisha.

6. Kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukakupa mume bora, sana sana utapata Boyfriends na wanaume za watu.

6. Tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo. Sex ni zao la mapenzi, mapenzi sio zao la sex.

7. Sex inaweza kufanya mwanaume alale na wewe usiku kucha, na asubuhi akaondoka zake ila upendo hufanya mwanaume aishi na wewe daima.

8. Kuna mambo mengine pesa haiwezi nunua kama tabia na heshima, kama ulikubali kuolewa nae kisa pesa zake. Usidhani kupitia pesa zake ataweza badilika.

9. Uvaaji wako siku zote ndio utakaoamua ni nini wanaume wazungumze na wewe!

Ni ukweli fulani hivi ambao ni mchungu!
FB_IMG_1463177419384.jpg
hahahahaha nimejikuta naangua kicheko hahaha
 
Nadhani ulikuwa na mahusiano na wasichana wa Vyuo unatoa yaliyokupata.
 
Hizi ngonjera wala huwa hazina uhalisia hata kidogo, hazina uhalisia hata kidogo
Watu tunatofautiana, hata vigezo vya kumtafuta mwenzi vinatofautiana pia....
Kama we unapenda tabia, wengine wanapenda chura, wengine shape n.k sifa zako sio sifa za kila mtu kukariri hizi ujinga muache

Mpendwa tafsiri ya hapo kwenye red.
 
Hizi ngonjera wala huwa hazina uhalisia hata kidogo, hazina uhalisia hata kidogo
Watu tunatofautiana, hata vigezo vya kumtafuta mwenzi vinatofautiana pia....
Kama we unapenda tabia, wengine wanapenda sura, wengine shape n.k sifa zako sio sifa za kila mtu kukariri hizi ujinga muache
Duuuuh.........
 
1. Ngono haimfanyi mwanaume asikuache, hata ukukuruke vipi, jikwatue kiasi gani kama hajaona quality za kuwa mke atakuacha tu.

2. Mwanaume anaekupata kwa vile alitumia pesa zake kwako hatakaa na wewe milele. Wanaume halisi hawawezi wakatoka na wanawake feki wanaopenda pesa. Ukibahatika sana atakufanya daraja la pili yaani mchepuko!

3. Uzuri wa mwanamke unaweza ukampelekea akaolewa ila tabia yake ndio itakayoamua ni kwa muda gani atadumu katika ndoa. Uzuri huvutia wanaume, ila tabia hufanya wanaume wadumu na wewe.

4. Pesa kiukweli ina faida sana na ni muhimu kwa mtu yoyote kuwa nayo ila pesa peke yake haiwezi kuleta ukweli wa maana halisi ya furaha na maisha.

6. Kuwa mzuri bila tabia njema hakuwezi kukakupa mume bora, sana sana utapata Boyfriends na wanaume za watu.

6. Tendo la ngono linaleta faraja ila haliwezi kuleta upendo. Sex ni zao la mapenzi, mapenzi sio zao la sex.

7. Sex inaweza kufanya mwanaume alale na wewe usiku kucha, na asubuhi akaondoka zake ila upendo hufanya mwanaume aishi na wewe daima.

8. Kuna mambo mengine pesa haiwezi nunua kama tabia na heshima, kama ulikubali kuolewa nae kisa pesa zake. Usidhani kupitia pesa zake ataweza badilika.

9. Uvaaji wako siku zote ndio utakaoamua ni nini wanaume wazungumze na wewe!

Ni ukweli fulani hivi ambao ni mchungu!
Imekaa poa
 
Hizi ngonjera wala huwa hazina uhalisia hata kidogo, hazina uhalisia hata kidogo
Watu tunatofautiana, hata vigezo vya kumtafuta mwenzi vinatofautiana pia....
Kama we unapenda tabia, wengine wanapenda sura, wengine shape n.k sifa zako sio sifa za kila mtu kukariri hizi ujinga muache
Exactly
 
Back
Top Bottom