kwa taarifa yako mimi sio muumini wake nimejikita katika kuzungumzia pombe kama ni dhambi ama la, pia hilo la pili kama kakutwa na mke wa mtu sina ushahidi nalo tumekatazwa kuongea uongo, mi ni Jw(Jehovah witnessed) kwa hiyo mi nimemnukuu yeye alivyosema kama kuna mwenye ushahidi na hill...
sawa wa kabila langu, nitajie kabila lako lisilotumia pombe. Ukishindwa kufanya hivyo utàkuwa, mmbeya,mfitini na mnafiki ama una hila na maisha ya watu wengine.
sawa tunajua kuwa we ni kada mtiifu wa ccm. na una mahaba ya dhati juu ya Magufuli, swali jiulize huo ujinga unaotamani uwe hivyo, je kama Mwinyi, Mkapa na Kikwete wangefanya hayo unayopendekeza, Magufuli ungempata wapi? maana nyinyi ccm hao watangulizi wa magufuli wote mliwasifu na kuwapamba...
Hakuna kitu kama hicho, sema mnafuata maslahi wazee washajichumia mali kibao mnaongwa vi- vitz na kupangishiwa nyumba za maana, kwanini usiwasifie? Mi kijana nimekuonga pesa ndefu basi ni30000 utaniona wa maana? ila kwa show nipe siku moja. Na uhakika hivyo vilaki laki anavyokuachia mzee utakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.