Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mchezaji wa Brazili akiondoka Uwanjani huku akilia baada ya kuzomewa na kuitwa nyani na washabiki huko nchini Serbia (Ulaya)!
Hapa ndipo ninapowakubali Wazungu, hata ujifanye wewe uko juu kiasi gani ipo siku watakukumbusha tu kwamba wewe ni Nyani tu kwao, nakumbuka Timu ya Wazungu ilipocheza dhidi ya Taifa Star Uwanja wa Taifa Watanzania tulikuwa tunawashangilia Wazungu na kuwazomea Waafrika wenzetu Taifa Star, wakati sisi hapa kwetu nyumbani tunaigawa nchi kumtetea Muhindi Manji, wengine kama chadema Tundu Lisu, Mbowe &Co. wanakwenda kwa Mzungu kushitaki kwamba wanategema suluhisho la matatizo yao litoke kwa Mzungu, ...
Wahindi wakiandamana kukataa Waafrika nchini mwao, mpka wameanzisha Chama kupinga Waafrika -weusi!
Hapa ndipo ninapowakubali Wazungu, hata ujifanye wewe uko juu kiasi gani ipo siku watakukumbusha tu kwamba wewe ni Nyani tu kwao, nakumbuka Timu ya Wazungu ilipocheza dhidi ya Taifa Star Uwanja wa Taifa Watanzania tulikuwa tunawashangilia Wazungu na kuwazomea Waafrika wenzetu Taifa Star, wakati sisi hapa kwetu nyumbani tunaigawa nchi kumtetea Muhindi Manji, wengine kama chadema Tundu Lisu, Mbowe &Co. wanakwenda kwa Mzungu kushitaki kwamba wanategema suluhisho la matatizo yao litoke kwa Mzungu, ...
Wahindi wakiandamana kukataa Waafrika nchini mwao, mpka wameanzisha Chama kupinga Waafrika -weusi!