Recent content by Mwakj

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dalili mbaya za kushindwa kwa ukawa/chadema

    Nakumbuka hata kipindi cha mikutano yenu ya dodoma siye tulikuwa kimya, mkajisemeza mbona Ukawa kimya ?, vyombo vya habari vyote ni ccm mpaka mkahisi upinzani umepotea. Mlipomaliza mambo yenu ndiyo tukaja na kasi ya ajabu mpaka mkachanganikiwa na hii kitu haijawatoka kichwani. Sasa tukianza...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kujichanganya ili kuficha udhaifu, Lowassa aumbuka juu ya uwezo wa kufanya kampeni

    naskia tu maccm yanasema mafuriko jangwani, sumbawanga, katavi na tunduma ila hayasemi kitu gani kinazungumziwa huko. Nimeona sumbawanga wananch walianza kutawanyika kabla pombe hajamaliza kuhutubia. Lichama lile lile, mijitu ile ile, sera zile zile. Pumbavuuuu kabisa hayana hata aibu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hofu yatanda kwa viongozi wa CHADEMA baada ya Magufuli kukubalika

    Mtoa mada hata kuandika hujui maskini wa akili wewe. Nilijua umekomaa kisiasa kubwa kubwa jinga. Hizo habari kapost fb mkoment na marafiki zako wapumbavu
  4. M

    JamiiForums Tanzania UKAWA wazuiwa kufanya mkutano Jangwani na Uwanja wa Taifa

    Kweli demokrasia hakuna hapa nchini. Halafu mara zote najiuliza kwanini ccm wanahofu sana na Chadema/Ukawa ?. Uwanja wa taifa wamewakatalia, na tena jangwani wanataka kuwakatalia. Kwa upumbavu wanaofanya chama tawala ukihama chama wanakununia na mpaka wanakutukana matusi. Sijawah kuichukia ccm...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mechi ya Kirafiki: Simba vs Mwadui

    kama ccm vile
  6. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa, hakika kwa style hii nimekupenda urais ni wako

    we nawe unaandika utafikiri unapumuliwa kwa nyuma, ume present upumbavu mtupu
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vincent Nyerere ampa Mkapa vidonge stahiki

    alivyo mfupi, kibonge, sura iliyokunjamana na upara ule jamaa mkapa anafanana kabisa na lodilofa yule katuni mwenye kigari.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimeamua rasmi kuacha kuishabikia Simba

    Simba timu mbovu sana kuanzia uongozi mpaka wachezaji, kazi yao kuchagua viongozi wenye gubu , pia inasajili wachezaji waliongoza kufunga magoli kwenye ligi za nje bila kufanya utafiti wa kutosha kwamba walibahatisha au juhudi zao binafsi. Pia Simba imeathirika kisaikolojia kwa kushindwa kufanya...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa atembelea Masoko ya Tandale, Kariakoo na Tandika Jijini Dar es Salaam

    hahahahahah !, ila nashukuru umeelewa kuwa maccm yameshindwa kuleta maisha bora kwa watanzania ndiyo mana magufuli hawezi kukanyaga kwa watanzania wenye dhiki. Anakaa pale jukwani akicheka cheka na upara wake wakati kuna watu wanashinda na njaa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Sumaye asema ya Mkapa nitamjibu mie na Makongoro mwambieni sie tunacheza fobe dunda

    Siasa za mwaka huu ni ngumu sana, sikutarajia maccm yangechanikiwa kiasi hiki.
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mwenye maumbile makubwa

    hata k iliyoumuka kama skonzi ndiyo napenda zaidi
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke mwenye maumbile makubwa

    Hi ! kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Nahitaji sana mwanamke mwenye maumbile makubwa, awe mnene kiasi, maziwa makubwa, matako makubwa. Mimi nipo Dar na kwa mawasiliano zaidi ni PM na huko tutapatiana namba.
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia ya kumtongoza mwanamke halafu anakuita kaka, rafiki na mengineyo

    Mambo gani haya kuitana kaka na dada wakati mnatamaniana, huu ni upumbavu zaidi ya alio tamka mkapa.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

    Duh !, aisee kazi ipo mwaka huu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mambo vp wakuu ?,

    Naombeni mnipokee wadau
Back
Top Bottom