SHIDA YAO WANA MASLAHI YA CHAMA,Bila kujari Maslahi ya NCHI. ''Lazima wakumbuke, na Wajue kuwa MUNGU NDIO ANAE TAWALA SIO CHAMA FULANI''. Hapo walikosea na hawana jipya
Lazima akate tamaa, MAANA VIJANA TUMECHOKA NA CCM Na kwamba Walidharau sana wananchi na HADI WALIMKUFURU MUNGU WA MAJESHI KWA KUSEMA, '' Eti CCM ita tawala Milele'',baadhi ya VIONGOZI WA CCM WALIKUWA WAKITAMBA. Basi hapana shaka kama alivyokaondolewa MADALAKANI Nebukadreza na Mungu NDIVYO...
Kafanya mengi yapi???, kupiga domo ajiri ya kuisaidia ccm iongeze siku za kuishi,WAKATI WANA WA ISAKALI wajuao KUSOMA ALAMA za nyakati wanafahamu kuwa ccm INAENDA KABULINI??.
Yaonyeshe aliyoyafanya YANAYO SHIKIKA HASWA. Kwangu sina wivu ila saa za ccm zinahesabika,ni uchaguzi mbaya tena ni...
Serikali yoyote DUNIANI ambayo ilitumia MKONO WA DAMU ktk kuwafunga watu MIDOMO,hiyo Dola HAIKUDUMU.
Ikumbukwe kutumia KUTESA,KUPIGA,KUJERUHI MTU NA UNYAMA WOWOTE UNAO FANANA NA HUU,Sio siraha ktk kunyamazisha JAMII ISISEME KILE WANACHO KIONA KWA MACHO KUWA SI SAHII. Kwa mtazamo wangu TUNAPASWA...
INASIKITISHA SANA SANA SANA.WAKATI FULANI UNAPO FIKIRI KUHUSU HATIMA YA Tz UNAJIKUTA MACHOZI MAZITO YENYE UCHUNGU MKUBWA JUU YA JAMII,NA MFUMO NZIMA WA UTAWALA WA NCHI YETU.Tuiombee kwa machozi nchi yetu ili MUNGU ATUEPUSHE NA MAJANJA mbalimbali.
SAA ZA UTAWALA WA Ccc meu UNAESABIKA BILA WASIWASI.NAAMINI 2015 UTAKUWA MWISHO,KAMA MUNGU AISHIE MILELE ASIVYO BADILIKA BASI Ndivyo awezi kuwaacha wanyonge wakiangamia.Nape na Ridh1 SI WAKWELI.TUNAAMINI SAA YA UKOMBOZI Inakalibia.
SHIDA yote Lowasa anaijua angekuwa hajui ASINGEPELEKA WATOTO Wake kusoma NJE YA NCHI.Haya matume ya nn...?JAMBO LINGINE Hiki chama cha mwawao mweu HAKINA UWEZO WA KUFIKIRI VIZURI.TUME NGAPI ZIMEUNDWA NA ZILIMEFANYA Nnnn?.NCHI IMEWASHINDA NA WANAPASWA KUACHIA NGAZI KWANI,Wanaandaa TAIFA LA WATU...
ACHA NISEME Mie mwana wa KIPANYA....
NINASIKITIKA SANA,NA NINAPATA MAUMIVU MAKUBWA SANA NINAPOONA Mhe.Spika wetu wa Bunge letu Tukufu ni KIPOFU wa Macho ya Rohoni..... Naamini LISU atafuti UMAARUFU isipokuwa ANASIMAMA ktk HOJA za Msingi.So kusema Lisu anatafuta umaarufu ni KUTO KUJUA KUSOMA...
SAA AMBAYO MUNGU WA WANYONGE ATAKAPO SIMAMA NDANI YA NCHII HII NA KWELI HAWA WATU WAMEKUWA NI KAWAIDA YAO. Kweli kbs kwnn ASIAMBIWE MTU YOYOTE ILA AWE Ridhiwani??????.....,WATU HUFIKILI,HUONA PICHA YA MAMBO MAZITO YANAYOENDELEA NDANI YA NCHI HII,Lakini UKWELI Unakuja KTK SAA CHACHE KTK USO WA...
NI KWELI KAMA NI MTANZANIA UNAO ONA MBELE BAADA YA MIAKA 50 IJAYO,LAZIMA UPATE MAUMIVU.Kwani kila kukicha Viongozi wa nchi hii hupewa Misaada(Mm sijui km Misaada kwl au Mikopo yenye Riba),Lkn Mambo hayawekwi wazi.LAZIMA ITUUME Kbs.
Kwa upande wng naona ni mama nzr kbs,ILa Mfumo wa Uongozi ktk kila eneo ndani ya Nchi yetu,Umemezwa na KUTOLEWA NA MAAMUZI YA KISIASA ZAIDI.So Hataweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.