Kwa mtizamo wangu ITV ya bwana Mengi nimetokea kuipenda kwa sababu ina utaifa wa kweli wa bila kupendelea upande wowote na zaidi imekuwa mstari wa mbele kulinda na kutetea maadili ya nchi na mengine mengi ni tofauti na inayoitwa TBC ambayo imekuwa kama tv ya chama badala ya umma
moja iwe ta taifa na ingine ya zanzibar au mkoa
Kwa mtizamo wangu ITV ya bwana Mengi nimetokea kuipenda kwa sababu ina utaifa wa kweli wa bila kupendelea upande wowote na zaidi imekuwa mstari wa mbele kulinda na kutetea maadili ya nchi na mengine mengi ni tofauti na inayoitwa TBC ambayo imekuwa kama tv ya chama badala ya umma
Jikomboe ki akili ndugu yangu sio kili analo sema doctor ndo lakukariri. Akili za kuambiwa na wewe ongezea za kwako!Kua televisheni ya Taifa haimaanishi kutembelea magari yenye namba za STK, SU n.k..Kua televisheni ya taifa ni matendo - Dr.Kitila Mkumbo (14/ 10/2011)- Nkurumah Hall