Recent content by mwakimfwifwi

  1. M

    Mke wangu amenizidi mshahara

    We bwana, huo uzi wako uko serious? Maana unaonekana kama utani hivi
  2. M

    Jiji la Mbeya, Usafi bila kinga

    Japo ni sawa mazingira yamechafuka mahali pengi na kuwalazimisha wanambeya kusafisha (and therefore kuwa teach a lesson ili wajifunze kuyatunze mazingira yao), si haki kulifanya hili jukumu bila kinga.
  3. M

    Mamaafacebook apata ajali

    Pole sana
  4. M

    Picha, kila mtu ana role model wake

    Hahahahaha! Na hiki Kiduku sasa.....
  5. M

    Dokta mimi siumwi huko

    Haina Shaka, tuko pamoja
  6. M

    Dokta mimi siumwi huko

    Sasa ndugu Daudi1 si ungesubiri tu hadi saa moja jioni watu wasome wenyewe story inaendelea vipi
  7. M

    Dokta mimi siumwi huko

    Na ukiwa hauna watoto ila unatamani kuwanao, ushauri usiombee kwake!
  8. M

    Dokta mimi siumwi huko

    Poa tunasubiri basi
  9. M

    Hivi ulaya kuna watu wanakufa kwa ukimwi?!

    Madawa yapo mengi na mtu akishagundua kwamba ameathirika anpewaga.. Pia kuna sindano fulani unayoweza kujichomea ndani ya 48 hours or so, ukiwa unahisi umejipatia mavirusi, ila bei. Na wanaotumia hii sana sana ni madaktari na wengineo wanaofanya kazi hospitalini, kwa mfano mtu akijichoma kwa...
Back
Top Bottom