Japo ni sawa mazingira yamechafuka mahali pengi na kuwalazimisha wanambeya kusafisha (and therefore kuwa teach a lesson ili wajifunze kuyatunze mazingira yao), si haki kulifanya hili jukumu bila kinga.
Madawa yapo mengi na mtu akishagundua kwamba ameathirika anpewaga.. Pia kuna sindano fulani unayoweza kujichomea ndani ya 48 hours or so, ukiwa unahisi umejipatia mavirusi, ila bei. Na wanaotumia hii sana sana ni madaktari na wengineo wanaofanya kazi hospitalini, kwa mfano mtu akijichoma kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.