Apewe talaka kwa ndoa gani aliyofunga na Ivan? Jifunze kutofautisha kati ya kuwa wazazi na wanandoa! Wangekuwa wanandoa ungeona wanaongelea masuala ya divorce ila kwavile ni wazazi wa watoto wa watatu ndiomaana imebakia issue ya parenting role na business partners kiu zao zingine wana uhuru wa...
Inategemea na soko sio kote bei ziko hivyo!
Mimi huwa nanunua soko la mkuyuni kuku wa kitoweo Tetea napata kwa 7000-8000 na kuna kipindi nilikuwa nachukua hadi kwa 6000!
Ila Kirumba na mjini hizo ndo bei zake!
Kwa anaezifahamu ndulele ni tiba nzuri sana ya jino!
Unachukua ndulele 3 au 6,unachukua sufuria unaweka vikombe 6 vya maji,limao 3,unadondoshe na mafuta ya taa kiasi zikiwemo na hizo ndulele!
Then chemsha hayo maji kwa muda usiopungua dakika 15!Yatoe maji kwenye moto acha yapoe!
Tumia hayo...
Kwanza napenda nikupongeze dada yangu ni wanawake wachache sana wenye ujasiri na uthubutu kama wa kwako kwa kuweza kuwasimamia wanao despite of da rough road!Big up indeed!
Kuhusu huyo mwanaume achana nae ucje ukajutia muda wako mwingi ulio spent mwenyewe na wanao!Wengine huwa ni waharibifu...
u will have my email and phone number but not in public sio wote watakaotaka niwe rafiki yao jamani :happy:,hapa haujaribu bahati bana sio bahati nasibu hii,ukipenda we bacome friends that's simple.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.