Mvua za Disemba mwaka 2023 zilikata mawasiliano ya mitaa katika eneo la Goba Kulangwa jijini Dar es Salaam.
Cha kushangaza mwenyekiti wa Mtaa na na uongozi mzima wa mtaa unatambua hali hiyo lakini hakuna kilichofanyika mpaka sasa ilhali mvua zingine tena zimeanza.
Tafadhali wahusika...
Je tunajitambua? Je sisi ni nani? Je watu wanapenda tukijiita nani? Kwa nini tukijigamba kwa asili zetu tunaonekana wabaguzi?.
Haya ni maswali ya kawaida sana kwa mwenye uelewa kujiuliza kwa namna siasa za nchi zetu zinavyoendeshwa siku hizi.
Kuwa Msukuma si kosa na vivyo hivyo kuwa Mngoni...
Tafiti zinasema wanadamu wengi hukata tamaa baada ya swali hili “Kama hatuwezi kushinda kwa nini tushindane?”
Watu wengi hawashiriki michakato ya ushindani kama watahisi kuwa kuna dalili ya aidha upendeleo au pengine mtu ujipima kwa sifa zilizolengwa.
Wengine huacha kuendelea kuomba fursa ya...
Rejea hoja tangia awali.
Au kwa kuwa lugha imechanganywa?
Shida ya waswahili wengine mnafanana.
Tunapenda kila kitu tuelezewe na wanasiasa ndio wanatumia ujinga huu wa wengi kutuambia hata ukiwa na dini usisemee bandari.
Ubunifu na kujituma.
Msanii wenu Diamond kaajiri wangapi? Ana elimu gani?
Bakhera kaajiri wangapi? Ana elimu gani?.
Kijana soma faulu sana tu lakini njia ya kutokea nyepesi ni ubunifu wako.
Baada ya kufaulu hukujibweteka kwa kuwa umefaulu.
Ulitafuta shughuli ukafanya na pia ni shughuli ambayo ni nje na uliyosomea. SASA HIYO NI HOJA YA MADA HII.
After you passed your studies do more to sustain yourself and community at large.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.