Recent content by mwakibolo

  1. M

    Wake za watu wamekuwa dili siku hizi, tatizo nini?

    wake za watu wanapenda ule mtandao pendwa.. 0713
  2. M

    Wasichana kwa big expectation hizi mtaishia kupigwa pumbu na kuachwa.,

    sijaumizwa baby bali ni kesi ninazoziona kwa wenzangu
  3. M

    Majina /id za ajabu jf kwa mwaka 2015

    kuna majina au id za ajabu kwa mwaka huu, ni zipi? 1.mkwepa kodi 2.mwafilombe 3.
  4. M

    Ndoto ipi ilikufurahisha 2015?

    kuota kuwa nimekua raisi wa tz
  5. M

    Wasichana kwa big expectation hizi mtaishia kupigwa pumbu na kuachwa.,

    security si waende SSRA, BANK... Kwa hyo kumbe lengo sio ndoa bali ugumu wa maisha, wataisoma no NYAPUSI ZAO
  6. M

    Natafuta msichana wa kuoa

    u are among of them, yani wanawake humu hakuna wamekubthu hadi kwenye tigo
  7. M

    Wasichana kwa big expectation hizi mtaishia kupigwa pumbu na kuachwa.,

    unalikuta lidada ni kula kulala nyumbani au kamaliza chuo hana kitu, anaanza mm wa kunioa awe na kazi, gari, nyumba, jiulize ww unavyo hvyo? Ndio mana ma brazamen yanaazima magari yanawatanua miguu na kuwaacha, hata mm sitakuja kuoa msichana maskini bz na wao wanabagua sana
  8. M

    Chunusi: Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    personal forte cream 2.5 inapatikana maduka ya dawa ni nzuri na bei poa haizidi 4000
  9. M

    Kazi/vitengo/kada ambazo ni aghalabu sana kukuta Wadada wazuri wazuri

    mamlaka ya maji umekosea mule kuna MIMAMA SIJUI NI WABIBI WANAJIVUTA KAMA MLENDA/GUNDI 2. UKONDA/UDEREVA 3..ULINZI 4..zege,ujenzi
  10. M

    Ushauri please,ajiunge na jeshi au aendelee kutafuta kazi za kiraia?

    yatapungua mkuu usihofu hata yakiwepo ni kwa kiwango kidogo sana
  11. M

    Ushauri please,ajiunge na jeshi au aendelee kutafuta kazi za kiraia?

    nashindwa ni comment nn bz watu mnaoomba kazi mkitegemea kusaidiwa na ndugu mnaudhi, je wenzenu wasio na ndugu?
  12. M

    Ushauri please,ajiunge na jeshi au aendelee kutafuta kazi za kiraia?

    mambo hayapo hvyo ndugu bot wakija wale wakuu wa vikosi ndio wanawachagulia bot watu wa usaili, mm kuna jamaa yangu alikua na bachelor of science in wildlife wakubwa wakamchagua aende bot kutokana na nidhamu ila kuna wachumi wengi walizuiwa kufanya huo usaili
Back
Top Bottom