teh teh teh teh,poleni wadogo zangu hayo matumaini mliyokuwa mkipewa sawa na kufukuza upepo. Msiwe na wasiwasi magufuli atatoa mikopo haraka mtaendelea na masomo yenu.
kama kigezo ni upenzi wanawake wazuri wasingeachwa na ndoa kuvunjika. wewe kaa na mawazo yako usiwalazimishe watu kuchagua tar 25 inakuja utashuhudia mwenyewe.
Usikufuru, kwani unafikiri ni kwa uwezo wa wazazi wako tu umekuwepo hii leo na unaweza kuandika upagani wako hapa?
Take care, mwamini Mungu, hujui ya kesho huyo Mungu ndo kakulinda na kukupa uwezo na uhuru wa kuandika hiki imaana hainglii mawazo ya mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.