changamoto hii naona wanaume wengi sana tunayo, kwanini wanawake wamekuwa kama mchwa kwenye familia. bila kuwa na msimamo wa kuwapangia majukumu. wanaume wengi tutaendelea kuumia.
hahahah ukitoka shikilia tumbo halafu unainamana kidogo kama mtu mwenye maumivu makali ya tumbo, watakuonea huruma wenyewe na kukupa pole, hawatacheka tena, omba kitanda ukapumzike kidogo, na chakula chao usile. hawana adabu hao.
miaka ya hamsini china walifanya kosa hili, kwa kuamini kuwekeza kwenye viwanda kwanza baadala ya kuwekeza kwenye kilimo kwanza, walijenga viwanda vingi wakitumia wataalam expert from russia ulikuwa mpango wa miaka kumi, lakini katika miaka mitano ya mpango wakagundua kuwa ilikuwa wawekeze...
huyu nape analewa sifa, ccm chama kubwa yeye kupewa nafasi haina maana nje hakuna watu wenye uwezo kuliko yeye. alikitoa shimoni ni shimo gani hilo. kikwete atujibu alikiweka chama shimo gani hilo. mpaka nape akitoe. mara tumekumbuka kipindi cha kikwete, mlisema kikwete dhaifu.
yaani hakuna mtu atasalimika kwa hali hii ya uchumi, kila mmoja wetu lazima aathilike, uwe ccm au cdm. nawashangaa mnaoleta siasa kwenye issue kama hii inayohusu uhai wa uchumi wa nchi, maana serikali yenyewe itapungukiwa mapato yake,
wawakilishi wetu wameota kigugumizi, kwanini huko bungeni wasipeleke hoja ya dharula wajadili hali ya kifedha tanzania, haiwezekani uhakiki umeisha na serikali iendelee kushikilia hela. hakuna biashara tanzania na hali ni mbaya kuwahi kutokea, wafanyabiashara wengi wameshindwa kulipa madeni benk...
Nafikiri kuna haja kuja na mjadala wa kitaifa juu ya hali ya uchumi kwakweli hali ni mbaya sana, purchasing power hakuna. yaani biashara za watu zinakufa, halafu tunapoteza mda kujadili upuuzi. hivi huyu magufuli haoni nini kinaendelea. kuna haja wafanya biashara kutoa tishio la kufunga biashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.