Recent content by mwajama

  1. mwajama

    Elimu ya tanzania sasa ni ya majaribio

    Habari wana JF! ninajambo naomba mlitolee mawazo na mada hii ni kwa mara ya pili naiweka mezani ni ili tu kupata mawazo na ufumbuzi toka kwenu juu ya jambo hili, kabala ya kulisema ngoja nikupeni picha ya elimu yetu. ni kwa muda sasa nimekua nikifuatilia mtaala wa elimu yetu toka nipate ufahamu...
  2. mwajama

    Elimu ya Tanzania kuwa ya MAJARIBIO

    Habari wana JF! ninajambo naomba mlitolee mawazo, kabala ya kulisema ngoja nikupeni picha ya elimu yetu. ni kwa muda sasa nimekua nikifuatilia mtaala wa elimu yetu toka nipate ufahamu na uelewa wa kuchambua Pumba na Mchele! kama tuna kumbuka sote miaka michache iliyopita kuna wazir mmjo wa elimu...
  3. mwajama

    wanawake siyo.

    dahhhh! pole yake huyo jamaa yako, ila iko hivi mwanmke yyte katka kizazi hiki cha nyoka yupo KIMASLAHI ZAIDI kubali uckubali,mwanamke huyo alikuwa kimaslah kaona jama hamkidhii mahitaji yake anamuona ----- PILI iko ivi pia UKIONA UNAPENDWA UJUE KUNA ----- KATENDWA NA UKIONA UNATENDWA UJUE KUNA...
  4. mwajama

    Amenisababishia ulemavu wa maisha kwa makusudi na sasa hanitaki tena!

    mi binafsi cjkuelewa! ebu tulia kwanza afu anza kutueleza nn kilikusibu na had ukapatwa na ulemavu! mana mi meona kama unatoa shukrani kwa watu tu akati unahitaji ushaur, ilikuwa vema kam vip uwafate hao uwape shukurani kwetu uombe ushaur
  5. mwajama

    Hatari: Mke amfumania mumewe akilawitiwa!

    Duhhhhh! mi mwenyew mgeni nchi hiyo ebu walizie wengine
  6. mwajama

    penzi la shemeji

    Ila wewe jama mi nona mamuzi ushayafanya uanchotka kwetu cjakijua n nn
  7. mwajama

    penzi la shemeji

    hakutakiwa kufanya hivyo jamaa, kaa chini na mkeo hata kwa kushirikisha ndugu zake ama wazee! akishindikkana "SHATI LIKIKUBANA ACHANA NALO CHUKUA JINGINE"
  8. mwajama

    penzi la shemeji

    hahahahah! hapo kaka umekosea jamaa yangu! solution ya tabia ya mkeo haikua hilo ulilolifanya jamaa, huyo nae unaemuona ametuliza moyo wako kumbuka nae ni mwanamke kwa mana kwamba wanawake wote ni sawa kwa vitimbi yawezekana huyo anavitimbi kuliko mkeo sema bado hajafunguka ju ya vitimb...
  9. mwajama

    Msaada jamani sijamwelewa wife leo!!

    pole sana kaka! akinadada zetu siku hizi wamemukuwa na akili kama za wanyama braza hawezi kuppandwa na mmjo d wawe wengi ndo aridhike! fanya subira ju ya hilo chunguza kwa makini utagundua jambo wala ucwe na haraka jama mana mwanamke yyte akishakua n bwan nje 100% utamjua so do slowly
  10. mwajama

    Nipo njia panda kijana mwenzenu..

    thehteh! jama ukistajabu ya musa utastajabu ya firauni! hizi ni tamaduni za kiafrica c wanyakyusa tu wache mila zao zitaamua jamaa
Back
Top Bottom