Mtu kaomba ushauri nyie mnaanza kashifa si ubinadamu bt all in all only God know,ndiyo kauli ya jamaa anayoisema,jamaa hatunzwi na mwanamke kama mnavyodhan anajitegemea na msosi ananunua na kodi ya chumba anatoa na aliyetaka waish wote ni demu mwenyewe over! Out of hapo endeleen na kashfa zenu wanawake hamna shukran dunian hapa tunapta tu,nyambafu pesa ztakufksha wapi?jamaa yng namuonea huruma he is a man of ze people.
usigeneralize kaka, km jamaa yako kapata bahati mbaya ya kupata dem kimeo sio wote wenye tabia hizo. Wanaume pia wapo wasio na shukrani km huyo dada.
Cha msingi jamaa yako afungue akili kuwa kadondokea pabaya so achape mwendo. Sio mda wa kubebana huu kwa mtu asiekupenda eti unamvumilia na unampenda. Upole mwingine ni kama ufala na uzumbukuku. Achemshe akili yake kabla hajampa mimba maana atajikuta anazidi kuzubalia hapo.